Salaam Zenu. Nyumba ya vyumba vinne inapangishwa iko Boko .Kodi ni 550,000 kwa mwaka mapatano yapo.Imezungushwa ukuta ,ina parking ya 4 cars.Ina seating Room, Servants Shed, Vyoo 3. Jiko kubwa la...
THE BUSINESS PRESENTATION &NETWORKING EVENT.
Life is tough and that's why everyone needs to learn some Business and enterprising skills apart from employment.
For only TSHS 2000/=You will be able...
Shamba lenye ukubwa wa ekari tatu linauzwa manispaa ya Arusha maeneo ya Sombetini karibu na yard ya pili ya Simba Trucking Company na pia karibu na Milano garage. Eneo hili lipo karibu kabisa na...
Habari wakuu,
Naomba msaada wenu, wapi hapa Dar naweza kupata inverter ambayo angalau itaniwezesha kuwasha na kucharge laptop tu ili nikabiliane na mgao wa umeme, na pia nauliza kuwa battery ya...
IPO CHANGOMBE, KARIBU NA MADUKA MAWILI NA KONA YA BARABARA YA KUELEKEA UKUMBI WA SIGARA<BR>INATAZAMA BARABARA YA CHANGOMBE.<BR>INAFAA KWA BIASHARA MBALI MBALI KAMA DUKA LA KAWAIDA, DUKA LA DAWA...
Nauza monitor ya computer aina ya dell kwa anayehitaji npm.
Ipo sinza kwa remi dsm.
Haina shida yoyote ni imetumika kidogo tu.
Bei ni shilingi tshs 90,000/=
Wadau kuna jamaa anatakaa kuniuzia hii saa lakini nimejaribu kutafuta bei zake kwenye Amazon, e bay na kwenye tovuti ya Louis Arden sijapata bei zake ni kitu nimekipenda lakini sijapata kujua bei...
Residential Building Services Limited (RBS) a turn-key provider of integrated commercial building and residential building development solutions. RBS specializes in both residential and commercial...
Wakuu habari!
Mdau yeyote mwenye taarifa ya nyumba ya kupanga maeneo ya Kimara,Ubungo au Mwenge. Iwe na sifa hizi:
- Vyumba vya kulala 2 au 3 (+ 1 Master bedroom); Sebule, dining, public toilet...
Hope wote mpo wazima. Natafuta nyumba ya kupanga, lakini iwe maeneo ya kariakoo, but then kuna dalali mmoja kanikatisha tamaa kaniambia sintopata chini ya $600 mpaka $700 tena in dollars na hiyo...
Wakuu nauza mtambo.
Nissan patrol(Safari)
1998
engine 4500cc
7 seater
Automatic gearbox
Rangi ni metallic grey
Ni bomba kabisa na ipo DAR
Price negotiable niPM
Haya wakuu leteni offer za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.