Acer Aspire netbook for sale

Acer Aspire netbook for sale

ICHONDI

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2008
Posts
600
Reaction score
134
Sio laptop but ni Net book of its sort 11.6 screen size, mara nyingi netbook zina screen size ya 10 or less, ni acer-Aspire one 722, ina 4GB DDR3 Memory, ina 500GB HDD ni AMD duo core PROCESSOR C60 with Turbo CORE technology up to 1.33.

Processor hii ni very powerful than Atom Processor ambayo most of Netbook inakuja na processor za Atom. Bei yake ni dola $350 au shs 630,000 za Kitanzania. It is a very good design little machine suitable for people who like to travel with less lugggage etc.

Kama kuna anayehitaji nijulishe haraka kwani zipo kwenye sale kwa sasa at costco.com na mimi nipo nje kikazi na nimejipatia moja nikaona niwajulishe na washirika zangu ninyi kama kuna anayehitaji. Ninarudi nchini end of this week, so hurry up. Inakuja na warranty ya 2 years pia, very incredible!!
 
Mkuu ina dvd writer? Wireless charge vp iko fresh? Nimekupm tuongee,vp bei inaweza kushuka kidogo?
 
Sio laptop but ni Net book of its sort 11.6 screen size, mara nyingi netbook zina screen size ya 10 or less, ni acer-Aspire one 722, ina 4GB DDR3 Memory, ina 500GB HDD ni AMD duo core PROCESSOR C60 with Turbo CORE technology up to 1.33.

Processor hii ni very powerful than Atom Processor ambayo most of Netbook inakuja na processor za Atom. Bei yake ni dola $350 au shs 630,000 za Kitanzania. It is a very good design little machine suitable for people who like to travel with less lugggage etc.
Kama kuna anayehitaji nijulishe haraka kwani zipo kwenye sale kwa sasa at costco.com na mimi nipo nje kikazi na nimejipatia moja nikaona niwajulishe na washirika zangu ninyi kama kuna anayehitaji. Ninarudi nchini end of this week, so hurry up. Inakuja na warranty ya 2 years pia, very incredible!!

Mkuu nimekuPM mbona uko kimya? Nahitaji moja
 
Mkuu ina dvd writer? Wireless charge vp iko fresh? Nimekupm tuongee,vp bei inaweza kushuka kidogo?
Oh sorry ilibidi niahirishe safari nitinge north Carolina kwenda kwenye msiba wa mama mmoja Mtanzania. Narudi Newyork kesho na nitakwenda Costco nione Kama Bado zipo. Haina DVD ni very portable little machine. Ni pm tena Kama Bado unaitaji
 
Oh sorry ilibidi niahirishe safari nitinge north Carolina kwenda kwenye msiba wa mama mmoja Mtanzania. Narudi Newyork kesho na nitakwenda Costco nione Kama Bado zipo. Haina DVD ni very portable little machine. Ni pm tena Kama Bado unaitaji

vp betri yake inatunza chaji? Ni cd rewriter au? Do you mean haisomi dvd? Bado nahitaj mkuu ile bei ipungue kidogo
 
vp betri yake inatunza chaji? Ni cd rewriter au? Do you mean haisomi dvd? Bado nahitaj mkuu ile bei ipungue kidogo
Kaka si kakwambia haina DVD,nimeona netbook zinakuwaa havina DVD rom,ukitaka google utaiona vizuri ilivyo,haina tundu la kuingizia CD/DVD hope umeelewa kwa lugha yetu sisi vihiyo wa mambo ya kompyu
 
Sio laptop but ni Net book of its sort 11.6 screen size, mara nyingi netbook zina screen size ya 10 or less, ni acer-Aspire one 722, ina 4GB DDR3 Memory, ina 500GB HDD ni AMD duo core PROCESSOR C60 with Turbo CORE technology up to 1.33.

Processor hii ni very powerful than Atom Processor ambayo most of Netbook inakuja na processor za Atom. Bei yake ni dola $350 au shs 630,000 za Kitanzania. It is a very good design little machine suitable for people who like to travel with less lugggage etc.

Kama kuna anayehitaji nijulishe haraka kwani zipo kwenye sale kwa sasa at costco.com na mimi nipo nje kikazi na nimejipatia moja nikaona niwajulishe na washirika zangu ninyi kama kuna anayehitaji. Ninarudi nchini end of this week, so hurry up. Inakuja na warranty ya 2 years pia, very incredible!!
mkuu mbona processor speed ndogo sana @ 1.33GHz, fanya laki 5 tufanye biashara fasta,,,
 
vp betri yake inatunza chaji? Ni cd rewriter au? Do you mean haisomi dvd? Bado nahitaj mkuu ile bei ipungue kidogo

mara nying zinatunza charge zaidi ya masaa mawil hadi matatu,dvd inabidi ukanunue external dvd rom zipo town aizidi laki 1 nyembamba kama kasha la cd za sony.acer is best motherboard zake imara sana nunua mkuu
 
mara nying zinatunza charge zaidi ya masaa mawil hadi matatu,dvd inabidi ukanunue external dvd rom zipo town aizidi laki 1 nyembamba kama kasha la cd za sony.acer is best motherboard zake imara sana nunua mkuu

sasa ukinunua external dvd,badala ya kuwa portable si inakuwa mzigo tena au?
 
Kaka si kakwambia haina DVD,nimeona netbook zinakuwaa havina DVD rom,ukitaka google utaiona vizuri ilivyo,haina tundu la kuingizia CD/DVD hope umeelewa kwa lugha yetu sisi vihiyo wa mambo ya kompyu

Ama kweli kihiyo,ndo mana nina maswali mengi,lol!
 
mara nying zinatunza charge zaidi ya masaa mawil hadi matatu,dvd inabidi ukanunue external dvd rom zipo town aizidi laki 1 nyembamba kama kasha la cd za sony.acer is best motherboard zake imara sana nunua mkuu

Kwani hizi laptop za aina ingine zinatunza charge kwa muda gani mkuu@babuu blessed
 
sasa ukinunua external dvd,badala ya kuwa portable si inakuwa mzigo tena au?
sikuiz ni mambo ya tekinologia cd azitumiki sana ni flash/internet unanyonya unasave tena ina 500gb labda ujaze kwa movie bt kama ni data tu utaipigia mzigo sana.kuhusu betr kunanyingne inakaa hata zaidi ya masaa matatu hadi 4au 5 lakini kuna betr 6cell ihi inapga mzigo masaa 11 tatizo azipatikani kwa urahisi na bei uwa inakuwa juu kidogo.NB Ukitumia laptop katka kuandika charge inadumu kwa muda lakini ukitumia kwa kusikilza nyimbo au kucheck movie charge inakwisha haraka.
 
Sawa babuu nimekusoma,jamaa mwenyewe naona amekula kona,hata hajibu Pm
 
Sawa babuu nimekusoma,jamaa mwenyewe naona amekula kona,hata hajibu PM,Haya mwingne mwenye nayo anitafute,si lazima iwe netbook,cha msing iwe na hdd kubwa na speed kubwa na pia iwe katika hali nzuri
 
sikuiz ni mambo ya tekinologia cd azitumiki sana ni flash/internet unanyonya unasave tena ina 500gb labda ujaze kwa movie bt kama ni data tu utaipigia mzigo sana.kuhusu betr kunanyingne inakaa hata zaidi ya masaa matatu hadi 4au 5 lakini kuna betr 6cell ihi inapga mzigo masaa 11 tatizo azipatikani kwa urahisi na bei uwa inakuwa juu kidogo.NB Ukitumia laptop katka kuandika charge inadumu kwa muda lakini ukitumia kwa kusikilza nyimbo au kucheck movie charge inakwisha haraka.

Sasa nikitaka kuwatch movie za kanumba inakuaje tena? Itaninyima raha,aah!
 
Kaka si kakwambia haina DVD,nimeona netbook zinakuwaa havina DVD rom,ukitaka google utaiona vizuri ilivyo,haina tundu la kuingizia CD/DVD hope umeelewa kwa lugha yetu sisi vihiyo wa mambo ya kompyu

Mkuu kuelezea mtu mpaka akaelewa inahitaji kipaji.
Maana unaweza ukaulizwa je kama kama haina tundu nikilitoboa sasa ili niweke DVD Rom?
 
Mkuu kuelezea mtu mpaka akaelewa inahitaji kipaji.
Maana unaweza ukaulizwa je kama kama haina tundu nikilitoboa sasa ili niweke DVD Rom?

JF bana yaani nimejikuta nacheka mwenyewe tu.
 
Back
Top Bottom