Kisusi Mohammed
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 563
- 468
Habarini za majukumu wakuna vichwa? Jamani mbio zinaendelea, natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Kigamboni, iwe ya vyumba 3 vya kulala, iwe kimojawapo ni master. Iwe na maji na umeme wa uhakika, fence na usalama vizingatiwe, parking muhimu pia. Budget kuanzia laki 2 mpk laki 2 na nusu! Kwa mwenye nayo au fununu anicheki kwa 0768111123