Wadau mwenzenu nimepewa notice natakiwa nimpishe mwenye mali yake so right now am looking nyumba ya kupanga yenye vyumba 2 vya kulala, sebule, choo na jiko ndani kwa ndani na pia iwe na fence na...
Wakuu lipo shamba zuri sana maeneo ya Kiromo Bagamoyo.Ni shamba lenye ukubwa wa ekari Saba,kila ekari ni Tsh 3,000,000/-maongezi yapo.Ni shamba halali,na hatua zote za kujiridhisha uhalali wake...
JE WEWE NI MDAU WA MAMBO YA GRAPHICS ESPECIALY IMAGE EDITING,KAMA NI NDIYO BASI TEMBELEA BLOG HII photo20201.blogspot.com KAMA UTAHITAJI SOFTWARE HIZI TUTAKUPA BURE KWANI NI ZA KAWAIDA NA HUENDA...
Habari zenu wakuu, naomba watu wa igunga mnitafutie Public Announcement System (PA), Microphone 3 wireless, kwa Jumapili 4/September/2011, Igunga, mwenye contacts naomba PM tafadhali.
Asanteni.
Specifications:
processor: Intel Core i5-460M
Hard Disk: 750 GB
Screen: 15.6 HD LCD
RAM: 4 GB DDR3
DVD- Super Multi DL drive
Battery: 6-cell Li-ion (6 Hours up to 8 hours)
ATI Mobility Radeon HD...
Kiwanja ambacho hakifiki hata ekari moja, kinauzwa mbezi beach africana, njia ya kwenda kwa bariwiwe- kipo karibu na shule ya msingi salala. Kina banda lenye vyumba vitatu.
Kiwanja kizuri kabisa kina 2200sq mtr, bei yangu ni 7000 kwa sqmt moja, so ni 15,400,000. Nauza bei hii kwasababu nimeshakiendeleza, nimekisafisha vizuri, nimezungushia nguzo za zege kiwanja...
Eti VODACOM wanatoa msada wa pole kwa wazanzibar wakati, Tukio linatokea wao ndo walikuwa wanasherehekea kumsimika miss mpya. Wazanzibar msijaribu kuchukua izo pesa hata wakiomba msamaha hawana...
WanaJamvi,
nauza kiwanja chenye ukubwa wa sqm 2000, kipo Buyuni eneo lililopimwa na wizara ya ardhi mwaka 2006/2007.
kipo located sehemu nzuri sana as per the plan, kinalipiwa rent kila mwaka na...