Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Wadau ninechoka na Mafundi wa Uswahilini ambao wao hutengeneza Magari kwa kubahatisha. Natafuta Fundi mzuri wa Mechanics hapa Bongo anayetumia vifaa vya Kisasa kufanya Diagnostics kama Computer maana nimechoka kila siku kununua Spea bila kujua Ugonjwa wa Gari
Asante
Asante