Una vyumba viwili vya kulala na sebure, jiko na uzio. madirisha (sliding windows) shs kodi 350,000. Kodi ya mwaka.
kwa maelezo zaidi piga simu 0717114409.
Mtu akisema anauza nyumba ujuwe bei yake itakuwa ni kati ya millioni 40 hadi mia na kuendeleya mbona sioni nyumba ambazo watu wenye kipato kidogo wanazomudu kununuwa mfano bei ya millioni 7 hadi...
Nimesikia kuwa TRA wanachaji full ushuru wa magari ya PERSONAL EFFECT yaliyozidi zaidi ya miaka kumi. Nijuavyo mimi ni kuwa unalipa tu kodi ya uchakavu. Naomba watu wenye taarifa kamili...
You need a company for coordinate you events
1. Press Conferences
2. Seminar
3. And other PRs events
Set back, Relax
Cause you gotta a right person
CONTRACT: 0712 756743
Kwa heshima zote Wakuu. naombeni mwenye ujuzi huu anifungue macho! Nahitaji kibanda tu cha kawaida, yaani chumba kulia chumba kushoto na choo kipo tayari nje! Kwa aliyewahi kufanya hii...
Mercedes Benz E-200 Class. 1998 Engine CC
Silver Colour , Macho ya Panzi
imeingizwa nchini July 2011
namba namba yake ni T 8-- BTY
Imetumika mara chache sana, katika Maharusi Tu.
picha to be...
Wakuu,
Ninatafuta eneo la kiwanja au shamba ndani ya maeneo jirani ya mji.
Iwe ni eneo la pembezoni mwa barabara kuu hususan SIKONGE ROAD au URAMBO ROAD.
Kiwanja kiwe manispaa ya mjini, au hata...
Raina catering service, Tunatoa huduma ya chakula kwenye Harusi, Sherehe za kuzaliwa, Kitchen party, Mikutano nk.
KARIBUNI SANA.
Tupo eneo la Sinza kwa remi, simu no. 07198538481
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya sinza,mwenge,sayansi.k'nyama,victoria ,morroco,
mahitaji: iwe na room 2 ,possible 1 iwe master,
sebule
jiko
Bei Kuanzia 150-200.
yoyote mwenye kujua ama anayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.