Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wadau, Nahitaji nyumba ya kupanga hapa Dar,iwe maeneo ya Sinza,K'nyama,Mikocheni,Mwenge,Survey,Kinondoni,Makumbusho,M/nyamala..kwa ufupi isiwe baada ya Nujoma road,ukitokea mjini Posta,bei...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ziko set nzima kutoka UK, Price: Tsh 6 Million Contact Eric @ 0712 787939
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Zinahatajika Gari 4 (Refrigerated Trucks) za kukodi kwa miezi kadhaa, kila gari iwe na uwezo wa kubeba tani 4. Mwenye nazo awasiliane na Eric, kwa namba 0712 787939
0 Reactions
0 Replies
984 Views
Specification: type 3.3-V SDRAM 512 Mb, 1GB or 2GB.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Techbiz is an appointed IBM Business Partner and provides support for all PCD/x Series servers throughout the region. Other brand names on offer are HP, Acer, Dell, Cisco, Microsoft and...
0 Reactions
0 Replies
911 Views
Wenye kuhitaji Nicheki Kupitia 0714519880
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Add me people
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nauza nyumba ipo tuamoyo kigamboni karibu na maeneo ya mikadi beach. Ukubwa440 sqm imepimwa ina offer na hati ya majengo, ina vyumba 11 na ina umeme. Contact 0715388666
0 Reactions
4 Replies
2K Views
bajaji tairi tatu inauzwa, bei nafuu sana, iko ktk hali nzuri, inatembea ni two stroke. mwenye kuitaji ani PM.
0 Reactions
16 Replies
7K Views
nina toshiba satelite 120gb,1gb ram, dual core proceser naitaji kubadilishana na playstation. Nawakilisha
0 Reactions
0 Replies
836 Views
ndugu zangu wana jf, heshima kwenu,,, nina printer yangu aina ya hp deskjet series 1220C, inatatizo la kukata moto, yani unaiconnect kwenye umeme, then after some seconds inajizima...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
RESEARCH LINK is an independent professional practice entity specializing in provision of Research Services and Consultancy. We offer professional academic & market research services at...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
JF kheri ya mwaka mpya, Kuna nyumba inapangishwa Mbezi Beach (Tangi Bovu) (Please note sharing basese) Nyumba nzima ina pangishwa kwa kodi ya laki tatu kwa mwezi, (300,000.00) kama kuna mtu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
msaada jamani kati ya nokia n73 na nokia x201 ipi simu nzuri zaidi?ushauri kabla sijanunua
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Kwa mahitaji ya oda kubwa za mafuta ya Petroli, Diesel na mafuta ya kuendeshea mitambo mikubwa (Furnace Oil). Piga simu; 0712 787939. Email; buyanza@gmail.com
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WanaJF nina asali ya kutosha na iko sokoni. Natafuta soko la jumla kama Lita 400. Pls.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
320GB hard disk 3GB ram DVD-RW Bluetooth 15 inch LCD Webcam Bei inaenda 650,000/= nicheki kwa 0655003510
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tunatafuta mtu bora ambaye anaweza mashati bora ya kiafrika. Unatakiwa mzigo mkubwa unaoweza kuuzwa kwenye maduka makubwa nchi za nje. Sisi ndio tutaamua rangi. Pia tunauliza pia kama kuna duka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu nahitaji fremu kwa ajiri M-pesa, lakini isizidi 50,000 kwa mwezi. Mwenye information naomba unipm..natanguliza shukrani.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nauza iphone 4s nyuepe mpya kwenye box lake, mnunuzi Wa uwakika anipigie simu 0717100474,bei majadiliano. shukrani. Jason
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom