Habari zenu members wote wa JF. Mimi nipo Arusha na ninatafuta wataalamu wa kutengeza mihuri ambao wanaweza kunitengenezea muhuri aina ya endorsement stamp kama hiyo inayoonekana hapo chini kwenye...
Wakuu Kheri ya mwaka mpya,naomba msaada wa hiyo laptop mwenye nayo!
Make preferable- Dell /HP/Toshiba.
Intel dual core/i3 or around / 250GB HDD/2GB RAM/14-15.6 screen/DVDRW.
The rest can be...
4GB RAM
360 HDD
3GHertz PROCESSOR SPEED
14inch LED MONITOR
BLUETOOTH AND WI-FI
4 USB PORTS
PRICE: 950,000/-
pm me or text 0718606860 if interested.
thanks
Naomba/natafuta msaidizi wa kike ikiwezekana awe na uzoefu wa kuangalia kina mama wazee: Umri kati ya miaka 23-40:Kama hana uzoefu anaweza kujifunza.
Ni kazi ya kumhudumia bibi ambaye anahitaji...
Wakuu HNY! Jana nimekutana na mtu anauza iphone ambayo kwangu nikahisi ni ya kichina bei 200,000. Hivi hizi zina shida kwenye kuingia kwenye internet?browsing?,address book,sms, memory au basic...
habar zenu!.
Her ya mwaka huu 2012.
Nmeambiwa bongo inaongoza kwa dawa za kuongeza nguvu za uume....
Huku nchi nliopo wameanza kuulizia nchi gani zinapatikana...kumbuka jamaa huku wanahitaji za...
Diwani wa Chama cha Kata ya Mtibwa, wilayani Mvomero, mkoa wa Morogoro Chadema, Tusekile Mwakyoma(28), amefariki dunia, baada ya kuchomwa kwa kisu na mchumba wake.
Diwani huyo alifariki jana...
Wadau wana jf wenzangu.
Ninahitaji radio call za kununua .please kwa mwenye kufahamu mahala zinapouzwa hapa dar anijulishe kwa kupitia hapa jamvini au kwa simu no . 0712 926 823
asante.
Natafuta kiwanja maeneo ya Arusha chenye ukubwa wa hekari mbili. kwa mwenye nacho au kama unajua kiwanja chochote kinachouzwa chenye ukubwa huo tafadhali usisite kuwasiliana nami kupitia anwani...
Wakuu nimeweka mahesabu lakini hayaingii kichwani!
haya naombeni saada sasa!
Eka moja = sqm??
na kama ni mraba Upana?? * Urefu??
upimbi wangu unaniambia kuwa eka moja ina sqm 4000, this will give...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.