Vipi mafuriko hayafiki huko?!
Habari zenu binafsi wadau!
Kuna shamba linauzwa,liko Kibaha kwa Matius njia ya kwenda kwa Dr Bayi lina ukubwa wa ekari 1.5 bei yake ni million 3 na nusu
kwa mawasiliano zaidi...mpigie
MR SUNDAY -0712 498 825 huyu ndiye mmiliki wa eneo hilo.
Habari zenu binafsi wadau!
Kuna shamba linauzwa,liko Kibaha kwa Matius njia ya kwenda kwa Dr Bayi lina ukubwa wa ekari 1.5 bei yake ni million 3 na nusu
kwa mawasiliano zaidi...mpigie
MR SUNDAY -0712 498 825 huyu ndiye mmiliki wa eneo hilo.
'sredi' hii huku imeingia choo cha wakwe. Huku ishu zake ni kafulilaz,makambaz,Ra,El,chama dume,chama cha mafisadi,pipoz pawa,ccm b,maandamanoz,ngunguri,masaburi na kadhalika
Lina mazao mkuu? Umbali toka barabarani ni Km ngapi?