Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza Water Pump Ya Petrol, nimeitumia kwa muda wa miezi miwili. Ina kila viunganishi vyake, iko katika hali nzuri sana na haina tatizo lolote, atakayenunua ntampa na mipira yake ya kuvutia na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau ninechoka na Mafundi wa Uswahilini ambao wao hutengeneza Magari kwa kubahatisha. Natafuta Fundi mzuri wa Mechanics hapa Bongo anayetumia vifaa vya Kisasa kufanya Diagnostics kama Computer...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza Acer Aspire one D255E 250GB hard disk 1gb ram, bluetooth webcam bei 420000/=. fanya kuniPM
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wooooorapz? natafuta photocopy machine, nipo dodoma kama unayo na unaiuza tuwasiliane kwa namba 0785009236.email,,, samwely.kisinga@rocketmail.com
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Toyota doule cabin Hilux Tacoma left hand ya 2004 inauzwa, ipo kwenye hali nzuri sana bei 35m. Serious buyer just call 0754827198 or ni PM.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habar za asubuh wanajf,naomba mnijuze,nina cm ya nokia N8,betr yake ni fixed hiv nikitaka kubadilisha inawezekana?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza TOYOTA Vtz ,rangi ya kijani yenye namba T 364 BFD. Nimeiokota imeletwa na maji ya maafriko.Haina kadi ya gari wala nn! bei maelewano. aliyekua tayari kuinunua aniPM.
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Wakuu salam, Natafuta blackberry 8520 mpya ikiwa na accessories zake zote. bajeti yangu ni 250,000/= negotiable kama una hiyo simu unipm au piga 0718637491. mkuu marty unahusika sana hapa
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nyumba self contained inapangishwa Kimara Temboni. Ina vyumba vitatu vya kulala kimoja ni master bedroom, sitting room, dining, kitchen, store na eneo la takribani ekari moja linalofaa kwa kilimo...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
kama heading inavyojieleza
0 Reactions
4 Replies
1K Views
anaeuza cd za ps2 ntsc ani pm natka ya kptzea mda evn used bt gud cndtn
0 Reactions
1 Replies
893 Views
Ni mpya kabisa. Inafaa zaidi kwa matumizi ya Internet caf'e, ofisi au home. Inatumia SIM card ya aina yeyote(mtandao wowote). Gurantee 2yrs Bei ni maelewano. Ni'PM.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Bei ni Tsh 400,000/= tu,ina 12MP camera,12GB internal memory etc,Imetumika miez 9 hapa bongo niPM tuongee biashara.niko mji kasoro bahari
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nahitaji original earphone za blackberry Kwa mwenye nazo ani pm tufanye biashara.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Samsung Galaxy SII 16GB onboard storage 1.2 GHz dual. core processor Android 2.3.3 Will include 4GB microSD card and leather flip case All in immaculate condition. TShs. 800,000.00 Call...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nyumba ina vyumba vitatu (3),chumba kimoja ni self.,store, jiko, sitting and dining rooms. Maji na Umeme vipo kwa uhakika. Nyumba ipo WEST NKUHUNGU, DODOMA. KAMA UNAHITAJI, NI PM.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa mwenye kontena la 20ft aniuzie mimi. Nitampatia TZS 400,000 (laki nne). Liwe na hali nzuri. Kontena liwe dar kwani nahitaji kwa ajili ya kuhifadhia vifaa vyangu. Asante.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza modem ya Zantel Huawei EC 122 CDMA USB Stick Tsh 30,000 tu,pia nipo tayari kubadilishana na modem ya Airtel au Vodacom model yoyote,kwa mawasiliano 0786 585 490,nipo Jiji la Mafuriko Dar
0 Reactions
0 Replies
2K Views
jamani wana Jf nina motorola droid pro XT610 nililetewa toka usa sasa ina lock zao nimepeleka kariakoo kwa mafundi imeshindikana mwenye utaalamu anisaidie nifanyeje model yake ni 353635040948354
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ipo Nkuhungu, nje kidogo ya mji. Maelezo zaidi piga simu namba 0752559510 au 0787559510
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom