Masika
JF-Expert Member
- Sep 18, 2009
- 723
- 30
Mambo vp wadau,
baada ya pilika pilika za siku kuu nafikiri ni muda wa kuweka na kuanza mipango ya maendeleo mapema!
Nahitaji frem kwa ajili ya duka la dawa
muhimu:-
1: Iwe na mlango wa mbele wa kioo(aluminium)
2:iwe na ukubwa usiopungua mita 8 kwa 4 (urefu na upana)
3:isiwe karibu na baa/hoteli au duka jingine angalau kwa mita 100 kila upande
4:iwe eneo la makazi ya watu wengi maana ndo lengo langu kutoa huduma hiyo
5:kama ni karibu na maabara au kituo cha afya itakua faida zaidi
6:iwe sehemu yoyote hapa dsm inayofikika kwa gari
7:bajeti yangu ni kuanzia tsh 10000 mpaka 200,000x 6 au x 12 au tutakavyokubaliana
mawasiliano
1-pm au sms via jf
2-mobile 0756727175
baada ya pilika pilika za siku kuu nafikiri ni muda wa kuweka na kuanza mipango ya maendeleo mapema!
Nahitaji frem kwa ajili ya duka la dawa
muhimu:-
1: Iwe na mlango wa mbele wa kioo(aluminium)
2:iwe na ukubwa usiopungua mita 8 kwa 4 (urefu na upana)
3:isiwe karibu na baa/hoteli au duka jingine angalau kwa mita 100 kila upande
4:iwe eneo la makazi ya watu wengi maana ndo lengo langu kutoa huduma hiyo
5:kama ni karibu na maabara au kituo cha afya itakua faida zaidi
6:iwe sehemu yoyote hapa dsm inayofikika kwa gari
7:bajeti yangu ni kuanzia tsh 10000 mpaka 200,000x 6 au x 12 au tutakavyokubaliana
mawasiliano
1-pm au sms via jf
2-mobile 0756727175