mkuu hizi ni simu au computer?.
fanya $650 utaipata,,,,
vitashuka tu mkuu, ila nikwambie tu ni device ambayo hutoichoka kwa muda mrefu sana, inachovutia sana sana ni uwezo wa battery yake kutunza charge kwa siku kadhaa, Internet Browsing, Books Store, Office functionalities nk',,utasahau kabisa kama una Laptop nyumbani,,, :eyebrows: :eyebrows:vitu vingine havishuki bei naomba mungu vifike angalau usd 500 mpya ili wengine tusisevie
bado ipo na upya wake ule ule toka kwenye boksi,,
sijakuelewa hapo,,
mbona unaharibu biashara ya mwenzako unatuchanganya sisi wanunuzi, si uanzishe thread yako uuze hizo za dola 900 tuzioneNi used? Hilo ni swali la msingi. Mimi ninazo 2 mpya ndani ya box hazijawahi kufunguliwa zaidi ya kuonyeshwa kwa wanunuzi.zina carrying case ni Ipad 2, wifi+3G, 32gb. Realistically my asking price ni dola 900. Hiyo bei ya 700 sijui umeipataje manake kwenye duka la apple ni dola 780. Key body ni dolal 80 plus, sema kwa vile imetumika au ina defects-- si imeshachokonolewa kwa kuwa unlocked? Ilikuwa ya VERIZON AU YA AT&T?
biashara yako umetangaza wapi?Ni used? Hilo ni swali la msingi. Mimi ninazo 2 mpya ndani ya box hazijawahi kufunguliwa zaidi ya kuonyeshwa kwa wanunuzi.zina carrying case ni Ipad 2, wifi+3G, 32gb. Realistically my asking price ni dola 900. Hiyo bei ya 700 sijui umeipataje manake kwenye duka la apple ni dola 780. Key body ni dolal 80 plus, sema kwa vile imetumika au ina defects-- si imeshachokonolewa kwa kuwa unlocked? Ilikuwa ya VERIZON AU YA AT&T?
imekuwa unlocked toka kiwandani 'Factory Unlocked' by Apple, nimeinunua mwezi uliopita bado ni mpya, hujanyimwa kutangaza zakwako unaandika maelezo na asking price kwenye thread yangu ili iweje' niache kuuza yangu nikutafutie wateja au',,benchod :embarassed2:Ni used? Hilo ni swali la msingi. Mimi ninazo 2 mpya ndani ya box hazijawahi kufunguliwa zaidi ya kuonyeshwa kwa wanunuzi.zina carrying case ni Ipad 2, wifi+3G, 32gb. Realistically my asking price ni dola 900. Hiyo bei ya 700 sijui umeipataje manake kwenye duka la apple ni dola 780. Key body ni dolal 80 plus, sema kwa vile imetumika au ina defects-- si imeshachokonolewa kwa kuwa unlocked? Ilikuwa ya VERIZON AU YA AT&T?
Hehe miluzi mingi humpoteza mbwa.hata mimi mnanichanganya nyie wabeba boksi,pale Vodacom shop Mlimani zipo na haziuzwi hizo dola 900 kama anavodai ICHONDI,mambo ya States ni huko huko hapa ongeleeni mambo ya bongo na bei za kibongombona unaharibu biashara ya mwenzako unatuchanganya sisi wanunuzi, si uanzishe thread yako uuze hizo za dola 900 tuzione
Hehe miluzi mingi humpoteza mbwa.hata mimi mnanichanganya nyie wabeba boksi,pale Vodacom shop Mlimani zipo na haziuzwi hizo dola 900 kama anavodai ICHONDI,mambo ya States ni huko huko hapa ongeleeni mambo ya bongo na bei za kibongo
imekuwa unlocked toka kiwandani 'Factory Unlocked' by Apple, nimeinunua mwezi uliopita bado ni mpya, hujanyimwa kutangaza zakwako unaandika maelezo na asking price kwenye thread yangu ili iweje' niache kuuza yangu nikutafutie wateja au',,benchod :embarassed2: