Kisusi Mohammed
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 563
- 468
Poleni na hekaheka za msiba na sherehe ya Pasaka.
Natumai wengi tutakuwa na afya njema.
Nina shamba au waweza kuliita kiwanja kulingana na utakavyotaka kulitumia. Lina ukubwa wa hekari 2 na nusu (mita za mraba 11,025/kwa kingereza ni 11,025square metres). Eneo lenyewe lipo umbali wa mita 150 kutoka barabara kuu ya kuelekea Tegeta (nyuma kidogo ya sheli ya Oilcom yenye duka la Zizou), lina hati ya umiliki ya serikali ya mtaa (halijawahi kupimwa wala kuendelezwa). Eneo hili linauzwa kwa Tshs. 1.7 Billion (Tshs. 1,700,000,000/=). Kwa anaehitaji kuliona/kulikagua anaweza kupiga cmu (0715555512 au 0787111123) au akatuma PM.
NB: HAKUNA DALALI, UNAFANYA BIASHARA NA MMILIKI.
Nashukuru kwa kusoma tangazo, karibu tufanye biashara.
Natumai wengi tutakuwa na afya njema.
Nina shamba au waweza kuliita kiwanja kulingana na utakavyotaka kulitumia. Lina ukubwa wa hekari 2 na nusu (mita za mraba 11,025/kwa kingereza ni 11,025square metres). Eneo lenyewe lipo umbali wa mita 150 kutoka barabara kuu ya kuelekea Tegeta (nyuma kidogo ya sheli ya Oilcom yenye duka la Zizou), lina hati ya umiliki ya serikali ya mtaa (halijawahi kupimwa wala kuendelezwa). Eneo hili linauzwa kwa Tshs. 1.7 Billion (Tshs. 1,700,000,000/=). Kwa anaehitaji kuliona/kulikagua anaweza kupiga cmu (0715555512 au 0787111123) au akatuma PM.
NB: HAKUNA DALALI, UNAFANYA BIASHARA NA MMILIKI.
Nashukuru kwa kusoma tangazo, karibu tufanye biashara.