wakuu nataka kununua gari aina ya Rav4, Year 2001 - 2003. Yenye High Quality. Lakini sina uzoefu wowote maana ni gari yangu ya kwanza kutaka kununua. Hivyo tumwagiane maujuzi ili kuusudii wengi...
Ipo fresh kabisa, betri inatunza chaji kwa cku 3 au zaidi, touch screen, ina google map n.k. ina internal memory 40mb, haina dosari yoyote ile.
bei yake 150,000. contact 0714-408238. ni original.
Wakuu habari za siku nyingi.
Jamani nilikuwa naomba mwenye ramani ya nyumba ya vyumba vinne na sebule anipatie.
Kama kuna mwenye nayo on soft copy ani PM then ntampa contact zangu.
Ntashukuru...
Je unatafuta "nyumba ya kupanga nzuri na ya kisasa?? Umechoka kuzungushwa na madalali??"
hii ni habari njema kwako…
· nyumba ni mpya, haijawahi kupangishwa
· ina vyumba...
Wakuu nlikua nafanya kazi mkoa fulani na sasa nmepata kazi hapa Arusha. Na kwa bahati nzuri nmenunua kijibanda hapa, hivyo nadhani patakua makazi yangu ya kudumu. Dhumuni langu ni kujiunga na...
Napangisha fremu ambayo iko kati kati ya bora na maduka mawili
kuna barabara inatazamana na changombe road inaitwa njia panda toroli
wasiliana na 0713 68 96 65, kwa maelezo zaidi
bei yake ni tshs...
Salmu kwa wan JF wote.
Jamani natafuta mashine ya kuetengezea chalks za mashuleni mfano huo hapo. Mwenye taarifa wapi naweza kupata tafadhali anijuze.
Thanks
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.