Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Basi lenye viti 32 inauzwa milioni 16 na ipo ktk hali nzuri na mashine ipo bomba.Naiuza kwasababu sipo mwenyewe kuisimamia hivo ni nzuri kwa dalala au shule.Vipuli vinapatikana bila ya wasiwasi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nokia E71i iko sokon
0 Reactions
2 Replies
890 Views
Natanguliza heshima! Wakuu hivi naweza kuipata wapi hii machine(saw dust bricks manufacturing machine) hapa Tanzania? Naihitaji kwa sababu kuna sehemu nimekuta hizo materials hawajui wazitupe...
0 Reactions
2 Replies
963 Views
HAYA WANAJF KWA MTU ANAYETAKA........RAV4 MILIANGO MITANO INAUZWA KWA BEI YA KUTUPWA Tshs7.5mil tuu kwa yeyote ambaye yuko willing tuwasiliane au ani-PM
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Anayeuza hiyo laptop (mpya) kwa bei nafuu anitaarifu.
0 Reactions
2 Replies
995 Views
Cyan, Magenta Yellow, Black. Web, Process and Offset, 1kg and 20kgs. Also Reflex Blue (1kg.) 0787 303399 / 0683 467197 sales@chitanatz.com
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ukitaka ramani za nyumba kwa maana ya designs pamoja na quantification zake at reasonable price. Contact nyenze1@yahoo.com
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nauza HP DeskJet Printer (model no F4280), hii printer+Scanner+Copier imetumika kidogo sana, iko katika box lake halisi, ina cd zake zote, na connection cables zote... Ina wino mmoja wa rangi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni used but in good condition,unapata accessories zote.sms on 0713079282 or PM me
0 Reactions
0 Replies
760 Views
Wadau, Nahitaji Toyota Vitz iliyo katika hali nzuri. Bajeti ni 6M. Isiwe imewahi kupata ajali. Napendelea zaidi rangi ya Silver, Off white, Blue, Gray etc. Rangi kali kama pink, orange...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Imeua motherbody kwahiyo nauza keybody,disply,cd rom,processor,ram na body yake.mwenyekuhitaji nicheki kwa namba hii 0754945598
0 Reactions
1 Replies
867 Views
Nauza spare ya sony vio,iliua motherbody,vilivyopo ni disply,cd rom,keyboad,procesor,ram.call this nom if ur in touched.0754945598
0 Reactions
0 Replies
728 Views
Habari wakuu, ninatafta cd za psp ninunue esp mwanza offers mana ndiko nipo kwa sasa!!! Anyone??
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari za majukumu wanajamii wote, ningependwa kufahamishwa juu ya hizi bbm kwani sina ufahamu wa kutosha juu yake na ningehitaji kuwa na yangu
0 Reactions
1 Replies
939 Views
Kama unayo tuwasiliane au weka details zake hapa Cm 0756669331 email prosper.kiwaly@gmail.com Au n pm
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kama una hivi vitu tuwasiliane kwa pm au weka hapa jukwaani.
0 Reactions
0 Replies
865 Views
kwa yeyote mwenye simu nzuri ya nokia yenye keypad ya qwerty kwa laki 1.5 kama anauza nahitaji kununua.
0 Reactions
14 Replies
4K Views
used 1month.ín good condition.for 850,000/=. Call 0777 455970
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nyumba inapangishwa, ipo Dar-es-salaam, Kimara maeneo ya Suca Motel. Ina vyumba vitatu vya kulala, servant quarter(2 rooms), guard room, fence, garden with pavement tiles, mabanda ya kufugia kuku...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
iPhone 3gs(16gb) in High good condition with full accessories + cover protecter laki nne(400,000)tu!! mwenye kuhitaji ni PM on 0782-895676 au 0656-072553! Akhsanteni!!!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom