Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kiwanja kinauzwa vigunguti, karibu na hiece zinapogeuzia, ni 30 kwa 20, Pia kina msingi. Bei ni 40M. Any one interested waweza ni PM!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
SIZE: 1200 Sqm (1 plots) AU 30 KWA 40 BEI: MIL 25 SIFA YA KIWANJA ENEO LINA HATI MILIKI HALALI KIWANJA KINA MIUNDOMBINU YOTE MAJI NA UMEME VIMEFIKA KATIKA KIWANJA GARI AINA ZOTE ZINAFIKA...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
I am looking for Event planner and organiser Companies that does the following items;(Dar & Morogoro) Provide an "MC" (Master or Mistress of Ceremony) who can guide the participants through some...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Contact 0713079282
0 Reactions
0 Replies
739 Views
jamani ndugu zanguni nina magari haya nauza Audi A6 excutive 1999 iko kwenye condition nzuri niya silver nani automatic mwingereza u can expect the quality mil. 16 tuu na nina Daihatsu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ninauza HOUSING za simu ya TECHNO. Housing zipo HIGH QUALITY, bei ni 6,000/-tshs kwa pisi. Ninayo pisi kama 30, za Model tafauti tafauti. Usikose Hiyo OFA, Techno Mobile zipo kibau hapo mjini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natangaza nafasi ya mtu yeyote kutengeneza pesa ukiwa nyumbani kwa mara ya kwanza campuni ya wazzub inatafuta mashirika na watu binafsi kukuza webpage yao iwe kama google au search engine...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninatafuta Generator ya kuwashia taa zangu na feni bila FRIDGE Ninaweza kupata kwa bei gani na lina ukubwa kiasi gani? Naomba msaada kutoka kwa wataalam wanisaidie
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ina vyumba vitatu,jiko, sebule, sehemu ya kulia chakula na stoo. Ina umeme na maji. Chumba kimoja kati ya hivyo ni self. Gharama ni Tsh 300,000/ ambayo italipwa kwa mkupuo wa miezi mitatu,sita...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wasiliana na dada anaitwa leila simu no.0656616104 kwa maelezo ya bei na wapi ipo
0 Reactions
0 Replies
984 Views
Kiwanja kinauzwa Mabwe Pande , eneo la nusu heka, lina michungwaq, minazi na mipera. bei ni Milion 9m. Kama upo interested - ni PM
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nataka kufungua biashara nataka nami niwe na ile machine ya MAXCOM AFRICA, na M-PESA, na TIGO PESA JE FAida yake wenzangu mnaijuwa inalipa? Maana naona watu wengi wanafanya tayari NISAIDIEN...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
jamani natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya mbezi beach, bahari beach, msasani, naomba msada ajuae aniandikie!! asante
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta kiwanja kilichopo eneo zuri karibu na barabara kwa mei ya tshs. 2-3 milion kiwe na hati
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ninahitaji freezer kwa ajili ya kugandisha mabarafu ya size mbalimbali ikiwemo size kubwa wanayotumia kuhifadhia samaki au kupoza vinywaji wakati wa sherehe
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Namba yangu ni 0715966715
0 Reactions
0 Replies
700 Views
40ft and 20ft containers for sale, with full documents, in a very good condition. Price: 40ft Tsh 5.5mil and 20ft Tsh 4 mil. Serious buyers call: 0712 78 79 39
0 Reactions
1 Replies
934 Views
unapata na chaji yake+memory card 1gb ina uwezo wa kuingia neti, bado mpyaa picha hiyo hapo kwenye attachment.. bei ni laki na 90 tu..
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Napatikana kwa namber 0715966715
0 Reactions
0 Replies
724 Views
wakuu habari zenu.kwa uhitaji wa mayai ya kuku wa kienyeji yanapatikana,unaweza wasiliana namba 0653685339.yanapatikana maeneo ya kijichi. Bei ni 12000 kwa tray.naomba kuwasilisha wakuu.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom