Basi lenye viti 32 inauzwa milioni 16 na ipo ktk hali nzuri na mashine ipo bomba.Naiuza kwasababu sipo mwenyewe kuisimamia hivo ni nzuri kwa dalala au shule.Vipuli vinapatikana bila ya wasiwasi...
Natanguliza heshima!
Wakuu hivi naweza kuipata wapi hii machine(saw dust bricks manufacturing machine) hapa Tanzania?
Naihitaji kwa sababu kuna sehemu nimekuta hizo materials hawajui wazitupe...
HAYA WANAJF KWA MTU ANAYETAKA........RAV4 MILIANGO MITANO INAUZWA KWA BEI YA KUTUPWA Tshs7.5mil tuu kwa yeyote ambaye yuko willing tuwasiliane au ani-PM
Nauza HP DeskJet Printer (model no F4280), hii printer+Scanner+Copier imetumika kidogo sana, iko katika box lake halisi, ina cd zake zote, na connection cables zote... Ina wino mmoja wa rangi...
Wadau,
Nahitaji Toyota Vitz iliyo katika hali nzuri.
Bajeti ni 6M. Isiwe imewahi kupata ajali.
Napendelea zaidi rangi ya Silver, Off white, Blue, Gray etc. Rangi kali kama pink, orange...
Nyumba inapangishwa, ipo Dar-es-salaam, Kimara maeneo ya Suca Motel. Ina vyumba vitatu vya kulala, servant quarter(2 rooms), guard room, fence, garden with pavement tiles, mabanda ya kufugia kuku...
iPhone 3gs(16gb) in High good condition with full accessories + cover protecter laki nne(400,000)tu!! mwenye kuhitaji ni PM on 0782-895676 au 0656-072553! Akhsanteni!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.