Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wandugu mlioko Taiwan na China au yeyote anayeweza kupata simu aina hizo au housing yake naomba tuwasiliane kwa mail mabaghee@yahoo.com. Simu yangu imeharibika housing (cover zake) nimejaribu...
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Kwa wale walioko Taiwan au China simu hizo zinapatikana huko. Tafadhali naomba mnisaidie kupata housing au simu yenyewe. Naambatanisha na picha zake.Tuwasiliane mabaghee@yahoo.com
0 Reactions
0 Replies
844 Views
Salaam wakuu, nahitaji vifaa hivyo hapo juu kwa ajili ya IBM THINKPAD T43 na T42, kama unavyo naomba tuwasiliane mapema iwezekanavyo!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale wanaojenga, watakao jenga, usihangaike kupata milango imara kwa ajili ya nyumba yako. Ukifika kwetu utapata milango imara kwa uthabiti wa nyumba yako. TUPO NYAKATO NATIONAL, na...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Wanajamii habari naomba mwenye uelewa na bei ya hizi bati zenye migongo mikubwa anijuze tafadhali nasikia wanauza kwa mita ni kweli na bei yake ni shilingi ngapi?
0 Reactions
2 Replies
4K Views
naitaji line ya kutumia internet free kama unayo just contact me through 0752092762 we anza kwa kusema sam ntajua ni wa internet line jamani dili hilo ila ukija na uchakachuaji wako utaumia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nilikua naulizia kuhusu soko la biashara ya mbao Dar. Wanasema hii biashara inalipa sana mjini ni kweli na soko kweli kubwa ?
0 Reactions
11 Replies
11K Views
HP Pavilian specification: RAM 1GB, Hard Disk 120GB, Processor AMD Athlon(tm) 64x2 dual core TK-55 1.8GHZ, Webcam, for TSH 540,000/= its used but iko poa.... SONY VAIO specification. RAM 4GB...
0 Reactions
0 Replies
776 Views
Imetumika kwa kipindi cha mwezi na nusu bei 230000
0 Reactions
0 Replies
803 Views
Wadau nahitaji ramani ya nyumba ya vyumba 3 kwa kiwanja cha 70/50, Msaada kwa anayefahamu kwa kuipata, au mwenye ramani ya kawaida ya 3bedroom house anitumie. Natanguliza shukrani
0 Reactions
22 Replies
7K Views
jf mwenye pikipiki used ani pm nanunua masharti isiwe imetumika kama boda boda aina yoyote
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ps2
Nahtaj ps2 kwa 150,000
0 Reactions
4 Replies
1K Views
(1) Mbao za Dawa kwa Futi Moja. 2x2 400/=ft 2x3 800/=ft 2x4 900/=ft 2x61300/= 1x8 12000/= Kwa Ubao mmoja wenye "Ft 12" 1x10 15000/= Kwa ubao mmoja wenye "Ft12" (2) Mao za Kawaida Zisizo na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
nokia E-5 for sale,tsh 250000 ina kila kitu chake.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Bei ziwe kuanzia 300,000-400,000.Pia na viatu bei iwe 100,000
0 Reactions
2 Replies
2K Views
ani pm
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Nauza Blackberry curve 8520 kwa bei ya 180,000 tu. Simu imetumika na iko katika hali nzuri sana. Haina scratches. Camera tu ndio haifanyi kazi. Kwa mawasiliano, piga namba 0714881500. BEI...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ninauza tiles za sakafuni na za ukutani nina box 700 , natafuta mnunuzi wa kununua box 100 na kukuendelea bei ni Tsh. 23,000/= kwa mtu atakayechukua zote bei itapungua . Havilla Real Estate Agent...
0 Reactions
0 Replies
946 Views
Ni habari njema kwa wenye vitu tajwa hapo juu, kuwa kuanzia mwezi May au June mwanzoni nitakuwa nasafisha hivyo vitu kama vilikuwa vina scratch haviplay miziki vzr basi tiba yake ya milele ina...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nataka kununua bajaji kwa ajili ya biashara. Wapi nitapata bajaji nzuri na kwa bei poa. Wenye uzoefu bei inaenda ngapi?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom