Ninauza auntvirus kali, ambazo unaweza kuzi update mwaka mzima, pia bei zangu ni nafuu sana. Aunt virus hizi ziko sildi, kwa mawasiliano piga simu namba +255657315394, karibuni sana
Imported and Registered in March 2012, Duty paid with One year Comprehensive Insurance paid.
Y.O.M: 2001/08, Odometer 95,000km, Displacement 1,390cc, Steering Right, Transmission Automatic...
Iko sokoni.
Gari: Volkswagen Passat ya mwaka 2003. Injini yake ni 1.8L, 4 cylinders, manual transmission. Imetembea 105,000 kms. Imelipiwa kodi na kusajiliwa.
Bei: Tsh million 15 (maongezi...
Habari zenu wajumbe.
Naomba mwenye information za yard za magari ambazo zipo Dar ambapo naweza pata Toyota vista kwa 5m. Sio lazima iwepo yard. Tafadhali
Ipo kati kati ya boara na maduka mwili. Inatazama barabara ya changombe
ina mlango wa ku-slide na floor tiles nzuri
kwa maelezo juu ya bei na ukubwa wasiliana na no.0713 68 96 65
Kama kuna mtu ana used screen iliyo katika hali ya kufanya kazi please call me 0713-357542, nahitaji used. Kwa wale wanaotaka kubadilisha screen kununua vitu vikali niuzieni used zenu. Nipigie...
Imetumika lakini ipo ktk hali nzuri na inafanya kazi.
-Rangi ni silver
-Megapixel 10.3
-Optical zoom 3x
-Screen size 2.7"
-Model S1030
Camera bado ipo uingereza nategemea baada ya wiki...
Wana JF, natafuta nyumba ya kupanga iwe ni self ndogo yenye vyumba viwili vya kulala na mengineyo muhimu, maji na umeme pia yawepo, Iwe maeneo yeyote kuanzia Usa-River mpaka pale Ngulelo Arusha...
Nina tafuta kiwanja maeneo ya mbweni dar au salasala pia maeneo ya kibaha misugusugu yoyote mwenye kiwanja anijulishe aweke # yake ya simu nitampigia thx mdau
Je wewe ni msafirishaji na unahitaji kuboresha biashara yako na gari za kisasa .naagiza magari haya kwa bei nzuri .
IVECO STRALIS ACTIVE SPACE 4 by 2 tractor unit kwa sterling pound 14750...
Natafuta chumba na sebule kwa ajili ya kupanga kiwe maeneo ya Shekilango au Ubungo stand ya mkoa, kiwe kina hali nzuri, kusiwe na muingiliano wa watu wengi, kuwe kuna usalama, kodi isizidi laki...
Wakuu nauza laptop charger(adopter) ya gari.
Input: Cigarate port ya gari
output: One terminal unayoweza ku-connect different terminals za laptop tofauti.
NB: KUNA VOLTAGE REGULATOR...
wadau,
Natafuta moderm za internet za tigo, voda ama airtel kwa mtu ambaye haitumii tena. bei nitakayonunulia ni sh10,000 kwa moja. kama kuna mtu anazo naomba anipigie simu kwenye +255 715 408...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.