Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wajameni kuna mdau aliwahi kusema hapa jamvini kuwa kati ya tablet nzuri ,Asus Eee Pad Slider 32GB ni tablet nzuri sana,na kweli nimebofya nimeona ni nzuri yaani ni kama Min laptop vile,sasa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
iko kwenye hali nzur sana imetembea ichin mwaka 1 na ilikuja mpia kabisa.unaweza kuiyona.bei dola 11.000
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nyumba inapangishwa kariakoo. gerezani karibu na ukumbi wa gerezani. ina uzio mkubwa wa tofali. inafaa kwa kuishi, yard, office n.k. Price $6000 per month negotiable.kama uko interested pm me
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wapendwa wana JF nahitaji mtu wa kupanga kwenye nyumba ninayoishi. nina chumba kimoja kiko wazi full furnished. yeye ni kuingia kulala. nahitaji kijana au dada ambaye ndio anaanza maisha hana...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wadau kunam2 kantembezea pkpk aina ya Honda toka japan. Ni cc 90. Anadai anamatatizo so nimpe laki 8. Mm cjui aina ya pkpk nzuri na bei yake pia. Naombeni muongozo wenu tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
6K Views
http://signup.wazzub.info/?lrRef=b3e76fa3
0 Reactions
4 Replies
1K Views
anayetaka kufungua simu kutoka nje, au yenye magonjwa mbali mbai kama kuzima, kuondoa taka taka Muone Mwesiga wa Empress Cinema na Kariakoo aggrey, naponesha sana, na eti ndio mwanzilishi wa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kama una copper ore kuanzia pasenti 25 na zaidi na unauza tuwasiliane haraka sana.TAFADHALI KAMA KUNA UBABAISHAJI NA UONGO TUSIWASILIANE. Nitumie email unipe namba yako ya simu: somigroup@yahoo.com
0 Reactions
2 Replies
1K Views
The stylish design is complemented with rhinestones to add an air of glamor Rhinestones embedded around giving a more luxurious look Maximizes protection to your phone and allows direct access...
0 Reactions
4 Replies
805 Views
Nina hii fedha, namimi nataka kujikomboa walau niwe na kausafiri kakunirahisishia kuwahi ofcn. Naomba mwenye kuuza anicheck tufanye biashara. Liwe kwenye good condition tafadhali.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
nyumba nzuri sana mazingira mazuri sana Room tatu na Sitting kwa mwez laki 3 ipo kurasini karibu na chuo cha diplomasia.usi ni pm kwa maelezo zaidi piga 0719390285 / 0752935772
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ITEM NAME-- Toyota Carina PRICE ------------Tsh 8 Million maelewano yapo (piga-0719539431) DESCRIPTIOn-----Color-Metalic Silver Model------------5A FE CC----------------1498...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Suzuki swift PRICE Tsh 8 Million DESCRIPTION Colour- Pearl CC-1333 Transmission-Automatic Millage-90,000km Fuel-Petrol Maelewano yapo kwenye hiyo bei kama unataka piga 0719 539431
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza mali yangu ni lap top dell latitude 620 intel duo core, 1gb ram, 80gb hd drive,processor 1.83GHz. Sababu ya kuuza ni nataka kubadilisha brand bei ni 450,000tu ila tunaweza kufanya mapatano...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndg zangu kama kuna mtu yeyote atanisaidia kupata nyumba ya kupanga maeneo ya Mbezi beach hapa Dar nitashukuru nyumba iwe ni ya familia maana yake vyumba kuanzia 3 na vingine vyote muhimu katika...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Tangaza katika tovuti hii: www.kitomai.com. Tuma PICHA na MAELEZO kupitia info@kitomai.com. Kama uwezi kupata picha nzuri tutakuja kuzipiga picha hizo mali kwa gharama nafuu. Tutakusaidia kupata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sony ericsson inahitajika iwe touch screen na operating system yake iwe android
0 Reactions
5 Replies
965 Views
Get Bold 9700 and torch 9800 both @ 600,000 and if you need only bold 9700 is 350,000 and torch 9800 is 400,000
0 Reactions
4 Replies
917 Views
Back
Top Bottom