Wajameni kuna mdau aliwahi kusema hapa jamvini kuwa kati ya tablet nzuri ,Asus Eee Pad Slider 32GB ni tablet nzuri sana,na kweli nimebofya nimeona ni nzuri yaani ni kama Min laptop vile,sasa...
Nyumba inapangishwa kariakoo. gerezani karibu na ukumbi wa gerezani. ina uzio mkubwa wa tofali. inafaa kwa kuishi, yard, office n.k. Price $6000 per month negotiable.kama uko interested pm me
wapendwa wana JF nahitaji mtu wa kupanga kwenye nyumba ninayoishi. nina chumba kimoja kiko wazi full furnished.
yeye ni kuingia kulala. nahitaji kijana au dada ambaye ndio anaanza maisha hana...
Wadau kunam2 kantembezea pkpk aina ya Honda toka japan. Ni cc 90. Anadai anamatatizo so nimpe laki 8. Mm cjui aina ya pkpk nzuri na bei yake pia. Naombeni muongozo wenu tafadhali.
anayetaka kufungua simu kutoka nje, au yenye magonjwa mbali mbai kama kuzima, kuondoa taka taka Muone Mwesiga wa Empress Cinema na Kariakoo aggrey, naponesha sana, na eti ndio mwanzilishi wa...
Kama una copper ore kuanzia pasenti 25 na zaidi na unauza tuwasiliane haraka sana.TAFADHALI KAMA KUNA UBABAISHAJI NA UONGO TUSIWASILIANE. Nitumie email unipe namba yako ya simu: somigroup@yahoo.com
The stylish design is complemented with rhinestones to add an air of glamor
Rhinestones embedded around giving a more luxurious look
Maximizes protection to your phone and allows direct access...
Nina hii fedha, namimi nataka kujikomboa walau niwe na kausafiri kakunirahisishia kuwahi ofcn. Naomba mwenye kuuza anicheck tufanye biashara. Liwe kwenye good condition tafadhali.
nyumba nzuri sana mazingira mazuri sana Room tatu na Sitting kwa mwez laki 3 ipo kurasini karibu na chuo cha diplomasia.usi ni pm kwa maelezo zaidi piga 0719390285 / 0752935772
Suzuki swift
PRICE
Tsh 8 Million
DESCRIPTION
Colour- Pearl
CC-1333
Transmission-Automatic
Millage-90,000km
Fuel-Petrol
Maelewano yapo kwenye hiyo bei kama unataka piga 0719 539431
Nauza mali yangu ni lap top dell latitude 620 intel duo core, 1gb ram, 80gb hd drive,processor 1.83GHz. Sababu ya kuuza ni nataka kubadilisha brand bei ni 450,000tu ila tunaweza kufanya mapatano...
Ndg zangu kama kuna mtu yeyote atanisaidia kupata nyumba ya kupanga maeneo ya Mbezi beach hapa Dar nitashukuru nyumba iwe ni ya familia maana yake vyumba kuanzia 3 na vingine vyote muhimu katika...
Tangaza katika tovuti hii: www.kitomai.com. Tuma PICHA na MAELEZO kupitia info@kitomai.com. Kama uwezi kupata picha nzuri tutakuja kuzipiga picha hizo mali kwa gharama nafuu. Tutakusaidia kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.