ROKY
Senior Member
- May 4, 2011
- 182
- 70
Habari za leo wana JF.
Mimi ni mkulima ninayesafisha mashamba mapya maeneo ya Ruvu.
Katika usafishaji wa mashamba hayo, kuna miti mingi inayofaa kwa kuni inapatikana.
Mzigo wa kuni za jumla unauzwa Tzs. 100,000 (Tzs. laki moja) kwa ujazo wa canter / fuso ya tani 3.
Wanunuzi wa kuni za jumla, wasambazaji wa kuni kwenye mashule na vyuo, na wengineo wote wanakaribishwa.
Mawasiliano yangu:-
Daudi Senkondo
0658-310981 (tigo)
0789-310981 (airtel)
0754-310981 (voda).
Mimi ni mkulima ninayesafisha mashamba mapya maeneo ya Ruvu.
Katika usafishaji wa mashamba hayo, kuna miti mingi inayofaa kwa kuni inapatikana.
Mzigo wa kuni za jumla unauzwa Tzs. 100,000 (Tzs. laki moja) kwa ujazo wa canter / fuso ya tani 3.
Wanunuzi wa kuni za jumla, wasambazaji wa kuni kwenye mashule na vyuo, na wengineo wote wanakaribishwa.
Mawasiliano yangu:-
Daudi Senkondo
0658-310981 (tigo)
0789-310981 (airtel)
0754-310981 (voda).