Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,678
Hello JF,
Nina mdogo wangu aliyeko chuo mwaka wa pili anasoma Business Administration anahitaji mwalimu wa ziada wa kumfundisha na kumuelewesha Cost & Management Accounting kwan somo limekua kidogo zito kwake. Anahitaji msaada wenu sana. Ntashkuru msaada na mawazo yenu.
Thanx in advance.
Nina mdogo wangu aliyeko chuo mwaka wa pili anasoma Business Administration anahitaji mwalimu wa ziada wa kumfundisha na kumuelewesha Cost & Management Accounting kwan somo limekua kidogo zito kwake. Anahitaji msaada wenu sana. Ntashkuru msaada na mawazo yenu.
Thanx in advance.