Fremu nzurii na kubwa inafaa kwa duka la dawa duka la chakula na biashara ya vifaa vya ujenzi nk.
Bei yake ni Ths. 80,000/=, kwa mwezi na mkataba ni wa miezi 6, sita, sichukui kodi kwa mwaka...
kiwanja kinauzwa, kipo ubungo kibangu ukubwa 18x20 gari inafika na kuna tofali zakutosha kabisa ambazo mmiliki alitaka kujenga then yakatokea matatizo.bei 6MILION pia kuna maelewano kwa mwenye...
Kiwe maeneo ya k'nyama, Sinza, Namanga, maduka mawili - Chang'ombe au Kinondoni. Ikiwa chumba na sebule itakua poa zaidi, na kikiwa kama master bedroom itakuwa safi zaidi. Nipeni msaada kwa 0774717033
My Nokia N81 imeharibika display,inawaka but haioneshi kitu...naomba kumpata fundi mzuri anaeweza kunisaidia kwa bei poa jamani...nipo Dar...naimiss sana simu yangu kwa intanet nzuri...
DELL LATITUDE D610, RAM 512MB, HDD 40GB, PROCESSOR 1.7GHZ
USED ILA HAINA TATIZO LOLOTE NA IPO KATIKA HALI NZURI,
HAIKAI CHA CHAJI KTK BETRI LAKE MORE THAN 15min (PASI/DESKTOP)
contact me: 0759950757
AM ALLY NI STUDENT WA UDSM NAUZA SIMU AINA YA BLACKBERRY TORCH ,CURVE NA NOKIA E63 KWA BEI POA .CM NI NZURIII SANA C MCHINA MY NO. 0652740304:evil::der:
NAtafuta DalalaI.
1. Nauza JCB Yina tatizo kidogo jino ya mbele dani ya gearbox yimekatika yinatebea kwakwenda mbela basi
2. Nina mtambo wakuwashea madini ya vito hata na alumasi
niko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.