Kwa nini ukitaka kuanzisha kampuni ukisearch jina online kwenye website yao kama lipo au la hawakubali wanataka uandike barua wakae nayo 2 weeks kisha wakujibu kama jina lipo au la
why?
Kwa huduma ya kutolewa loki iphone, kuiJailbreak, ku update IOS mpya pamoja na kuitoa loki kabisa nitafute kwa pm. Kwa bei poa kabisa na tena nakufanyia kazi yako apo apo! :)
Zile Microscope(Jaico Binocullars) kwa ajili y amaabara zimeingia tena kutoka UK,kama kawaida ni dual power zinatumia umeme na zinakifaa cha solar (Included) kwenye Box lake,kama umeme umekatika...
Blackbery Pearl3G 9105,white with charger,screen guard,earphone and usb cable selling for 290000 tsh,if u have any good phone we can exchange also..0713677200
nauza battery original ya bb bold9700 kwa elfu 20 tu. Tuwasiliane kwa namba 0714881500. Nb. Battery nimeitumia kidogo sana kama back up battery wakati nasafiri.
wana jf, kiwanja chenye ukubwa wa sqmtr1200 na ushee, kina hati na kimepimwa katika mradi wa viwanja buyuni, karibu na chanika kinauzwa kwa sh milioni nane tu. Kwa maelezo zaidi piga simu namba...
kuna jamaa yangu mmoja anatafuta chumba kikubwa na kizuri cha kupanga maeneo ya Sanawari, Mianzini, Sakina na maeneo ambayo yapo karibu ya Arusha Technical college. Chumba hicho kiwe self...
Heshima kwenu brothers and sisters,
Polen sana na majukumu, inshort mi ni kijana wa kiume 25yrs of age, natafuta vijana wenzangu 2 na mimi wa tatu, wanaoanza safari yao ya maisha ili for...
Jamani wanajamvi salama? Natafuta betri ya hp min laptop mwenye kuwa nayo naomba tufanye biashara. Au anaejua waliko mafundi wachakachuaji wa betri tafadhali nijulishe.
Make: Volvo, JUNE
Mechanism: Hydrolic
Location: Tabata, Matumbi.
Manufactured: 1982
Condition: Iko kwenye hali nzuri, Inatumika na inauzwa. Arrived in Tanzania 2011 January.
Bei: 35,000,000 Tshs...
Tunauza betri acid za jumla kwa bei nzuri tu, tena tunaweza kukuletea mpaka mlangoni kwako, haya maji ya betri, distilled water na coolant za kwenye magari.
Maji ya betri yenye kiwango cha gravity...
Wana JF ninatafuta gari aina ya Pajero Jr (1.1 cc) kwa haraka. Tafadhali kama unalo au unazo taarifa muhimu kuhusu wapi naweza pata hili gari hasa Dar tafadhali nijulishe. Asante
Located at Kerege along Bagamoyo Road, a second village from BUNJU. There are three semi-developed homes on the plot and a 12 rooms foundation. It has a Title Deed (Certificate of occupancy)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.