Gari linauzwa-toyora rav4 5 doors

Petera

Member
Jun 12, 2012
8
0
GARI LINAUZWA-TOYORA RAV4 5 DOORS-NI LA MWAKA 2003 KWA MAWASILIANO PIGA SIMU NO. 0767212523 AU TUMA UJUMBE KWENYE EMAIL: p.ayubu@yahoo.com. imetembea kilomita 99000,haijawahi tumika Tanzania tangia ije na haina tatizo lolote. Bei ni sh.20,000,000/= kuna maelewano.
 

Attachments

  • PICHA+ZA+GARI[1].pdf
    363.4 KB · Views: 293
GARI LINAUZWA-TOYORA RAV4 5 DOORS-NI LA MWAKA 2003 KWA MAWASILIANO PIGA SIMU NO. 0767212523 AU TUMA UJUMBE KWENYE EMAIL: p.ayubu@yahoo.com. imetembea kilomita 99000,haijawahi tumika Tanzania tangia ije na haina tatizo lolote. Bei ni sh.20,000,000/= kuna maelewano.
Statement zako zitakufanya uonekane haupo serious. Penye red unadai haijawahi kutumika toka ije wakati huohuo picha inaonyesha ipo barabarani bongo kwenye foleni ikipishana na gari ya Mwenge Posta/Kkoo
 
Statement zako zitakufanya uonekane haupo serious. Penye red unadai haijawahi kutumika toka ije wakati huohuo picha inaonyesha ipo barabarani bongo kwenye foleni ikipishana na gari ya Mwenge Posta/Kkoo

Gari hili bado halijauzwa na Engine yake ni 2.0L, NILISEMA HALIJAWAHI KUTUMIKA Tanzania kwa maana kwamba silitumii kuzungukia tangia liingie, umeliona hayo maeneo kwasababu ndiko linakokuwa ni vyema kama unalihitaji ukaja kuliona mwenyewe.

Gari hili ni manual na limetengenezwa Japan, ila lilinunuliwa kutoka UK. Gari hizi kwa wasiojua ni ngumu sana hasa zile zinazopitia UK kwasababu ya viwango vyao vya ukaguzi wa magari kuwa juu sana labda kuliko nchi nyingine yoyote duniani hawa wazungu wanayajua magari hivyo chochote kinachoingia huko kwao wanahakikisha kina ubora wa hali ya juu,tofauti na haya magari tunayonunua moja kwa moja kutoka Japan ukweli hutaweza kufananisha na gari linaloenda moja kwa moja kwenye ulimwengu wa tatu na gari la nchi zilizoendelea, sijui kama naeleweka hapa.
 
Gari hili bado halijauzwa na Engine yake ni 2.0L, NILISEMA HALIJAWAHI KUTUMIKA Tanzania kwa maana kwamba silitumii kuzungukia tangia liingie, umeliona hayo maeneo kwasababu ndiko linakokuwa ni vyema kama unalihitaji ukaja kuliona mwenyewe.

Gari hili ni manual na limetengenezwa Japan, ila lilinunuliwa kutoka UK. Gari hizi kwa wasiojua ni ngumu sana hasa zile zinazopitia UK kwasababu ya viwango vyao vya ukaguzi wa magari kuwa juu sana labda kuliko nchi nyingine yoyote duniani hawa wazungu wanayajua magari hivyo chochote kinachoingia huko kwao wanahakikisha kina ubora wa hali ya juu,tofauti na haya magari tunayonunua moja kwa moja kutoka Japan ukweli hutaweza kufananisha na gari linaloenda moja kwa moja kwenye ulimwengu wa tatu na gari la nchi zilizoendelea, sijui kama naeleweka hapa.

Mi bado sijakuelewa.
 
Gari hili bado halijauzwa na Engine yake ni 2.0L, NILISEMA HALIJAWAHI KUTUMIKA Tanzania kwa maana kwamba silitumii kuzungukia tangia liingie, umeliona hayo maeneo kwasababu ndiko linakokuwa ni vyema kama unalihitaji ukaja kuliona mwenyewe.

Gari hili ni manual na limetengenezwa Japan, ila lilinunuliwa kutoka UK. Gari hizi kwa wasiojua ni ngumu sana hasa zile zinazopitia UK kwasababu ya viwango vyao vya ukaguzi wa magari kuwa juu sana labda kuliko nchi nyingine yoyote duniani hawa wazungu wanayajua magari hivyo chochote kinachoingia huko kwao wanahakikisha kina ubora wa hali ya juu,tofauti na haya magari tunayonunua moja kwa moja kutoka Japan ukweli hutaweza kufananisha na gari linaloenda moja kwa moja kwenye ulimwengu wa tatu na gari la nchi zilizoendelea, sijui kama naeleweka hapa.

100%....upo sahihi kabisa........
 
Back
Top Bottom