Kiwanja kipo sehemu nzuri sana, eneo limepimwa na limejengwa nyumba za kisasa, kiwanja kina sifa zifuatazo
Ukubwa 30m x 23m.
kimezungushiwa ukuta wa tofari eneo lote
kimejengwa msingi imara kabisa...
ninauza simu yangu ya Iphone 3gs.
ni 32gb internal memory.
version 4.2.1 na unaweza upgrade.
ina applications 205 both za kununua na ku download bure itunes.
bei ni laki 400.
kwa mawasiliano zaidi...
Wadau nina deal ya kubadilishana kiwanja nyumba.mimi nina kiwanja with clean tittle deed of 99 years 700 sqm kipo bunju a, just short distance from bagamoyo main road.kipo kwenye kona kwa hiyo...
Bakery yenye kujitosheleza kwa vifaa na ndani ya jengo Zuri pembeni ya main road inapangishwa au mwenye mahitaji anaweza kuinunua pia! Mwenye mahitaji ya kweli tuwasiliane kwa namba hii...
Hello wadau nahitaji mini_laptop iwe na specifications zifuatzo; RAM - 2GB, PROCESSOR - 1.8GHZ, HDD - 240GB au zaidi. Pesa iliyopo ni TSh.380,000/- Ni PM tufanye biashara.
Natafuta TOYOTA RAV 4,
Iwe ya milango mi 5. Nitajie imetembea km ngapi? year of manufacture. Imeingia nchini lini? rangi yake? na taarifa zingine muhimu. Bila kusahau unauza bei gani...
Natafuta nyumba ya kupanga mbeya mjini. Iwe ya vyumba viwili, sitting na jiko.Iwe na fensi na sehemu ya kutosha kwa parking na kuweka ng'ombe mmoja au wawili wa maziwa.
Naomba mwenye nyumba yenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.