Mambo vipi wakuu
nilikuwa nahitaji kujua kuhusu issue ya kununua gari kwa mkopo, ambayo ni used
je ni kampuni gani au kama mtu binafsi yupo na anaweza tufanye biashara kwa system hiyo
naomba...
Wakuu ninatafuta machine ya kukata nyama (Bones cutter machine) kwa ajili ya butcher langu. Ninaihitaji sana. Hivyo kama kuna mtu anauza au kama kuna mtu anajua zinapouzwa hada dar naomba...
Nadhani kichwa cha habari kimejimegea vya kutosha...
ninakupa product ya TANZANIA na kwa bei safi!
achana na product za CHINA ambazo ni nyepesi kama chandarua...!
karibuni wadau...
wadada...
Habari wadau,
Naomba kujuzwa exactly bei ya ushuru(total taxes) ya kuingiza gari tajwa hapo juu kwa mtu ambaye ameingiza na sio hyo ya kukokotoa kwenye Exel sheets maana tanzania taasisi zake...
Hello everyone,
Were running a slogan writing contest for a games website and looking for a catchy and motivating tag line. Check out the
website theme to get idea of what it should be...
Nauza printer nimeitumia kama mwezi mmoja, bado ni nzima vya kutosha, ni HP inkjet A1050 inafanya kazi 3 kwa pamoja ambazo ni: Printing, Scanning na Photocopying. ​Anayeitaka ani-PM nipo dar
Creative PLUS is a reliable Web Development, Website Design, Web Hosting and SEO services company in Tanzania providing professional website designing, custom web development, ethical search...
Hi wana JF wote,
Natafuta wanunuzi kuni za jumla.
Nina mashamba mapya nayasafisha, hivyo kuna miti mingi sana kwa ajili ya kuni.
Eneo yalipo mashamba hayo ni mkoa wa Pwani, umbali wa kilometa...
Ninauza viwanja 6 vya ukubwa wa mita 20 x 20 bei 2,000,000/= kila kimoja. Viko sehemu moja namba yangu 0754571000 au 0784551259
ni maeneo ya kitonga ukitoka mbagala unapita chamazi msongola...
Kwa matatizo yote ya laptop tembelea www.laptoclinic co.tz
Unaweza kuwasiliana nasi kupitia:
Support Department
44 Ursino South Estate
Uporoto street
Behind Victoria Petrol Station
Dar es...
habari wana MMU
Natafuta mahali ambapo naweza kununua cd empty na za movies + gospel music vilevile na vifaa vya simu km makava chargerz n.k kwa bei ya jumla.km una access yeyote naomba uni PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.