Kiwanja kinauzwa

solon

Member
Mar 16, 2012
12
1
Kiwanja chenye size 30m kwa 30m kinauzwa kipo tabata kinyerezi na bei yake ni shs Ths.22mill na kipo umbali wa kilomita moja kutoka barabara kuu

mawasiliano; 0783422874
 
Mimi nijuavyo Arusha ndiyo viwanja bei ghali sana lakini kiwanja hicho mkuu bei ni kubwa mno kulinganisha na ukubwa mahali kilichopo,

Labda ingekuwa 6ml watu angalau lakini 22ml!!!! Anyway kama mimi sina pesa nisiwasemee na wengine!!!!!
 
Mimi nijuavyo Arusha ndiyo viwanja bei ghali sana lakini kiwanja hicho mkuu bei ni kubwa mno kulinganisha na ukubwa mahali kilichopo,

Labda ingekuwa 6ml watu angalau lakini 22ml!!!! Anyway kama mimi sina pesa nisiwasemee na wengine!!!!!

wewe hujui bei ya viwanja. hasa kinyerezi. niulize mimi cha kwangu sqmetre 700 nimenunua kwa ngapi huko kinyerez
 
Du! natamani hicho kiwanja lakini bei imenishinda chalii wangu. Ungesema millioni 8 kweli ningekutafuta.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom