S solon Member Mar 16, 2012 12 1 Jul 7, 2012 #1 Kiwanja chenye size 30m kwa 30m kinauzwa kipo tabata kinyerezi na bei yake ni shs Ths.22mill na kipo umbali wa kilomita moja kutoka barabara kuu mawasiliano; 0783422874
Kiwanja chenye size 30m kwa 30m kinauzwa kipo tabata kinyerezi na bei yake ni shs Ths.22mill na kipo umbali wa kilomita moja kutoka barabara kuu mawasiliano; 0783422874
Mzee wa Rula JF-Expert Member Oct 6, 2010 8,171 3,346 Jul 7, 2012 #2 Mimi nijuavyo Arusha ndiyo viwanja bei ghali sana lakini kiwanja hicho mkuu bei ni kubwa mno kulinganisha na ukubwa mahali kilichopo, Labda ingekuwa 6ml watu angalau lakini 22ml!!!! Anyway kama mimi sina pesa nisiwasemee na wengine!!!!!
Mimi nijuavyo Arusha ndiyo viwanja bei ghali sana lakini kiwanja hicho mkuu bei ni kubwa mno kulinganisha na ukubwa mahali kilichopo, Labda ingekuwa 6ml watu angalau lakini 22ml!!!! Anyway kama mimi sina pesa nisiwasemee na wengine!!!!!
Tripo9 JF-Expert Member Sep 9, 2009 4,352 3,533 Jul 8, 2012 #3 Mzee wa Rula said: Mimi nijuavyo Arusha ndiyo viwanja bei ghali sana lakini kiwanja hicho mkuu bei ni kubwa mno kulinganisha na ukubwa mahali kilichopo, Labda ingekuwa 6ml watu angalau lakini 22ml!!!! Anyway kama mimi sina pesa nisiwasemee na wengine!!!!! Click to expand... wewe hujui bei ya viwanja. hasa kinyerezi. niulize mimi cha kwangu sqmetre 700 nimenunua kwa ngapi huko kinyerez
Mzee wa Rula said: Mimi nijuavyo Arusha ndiyo viwanja bei ghali sana lakini kiwanja hicho mkuu bei ni kubwa mno kulinganisha na ukubwa mahali kilichopo, Labda ingekuwa 6ml watu angalau lakini 22ml!!!! Anyway kama mimi sina pesa nisiwasemee na wengine!!!!! Click to expand... wewe hujui bei ya viwanja. hasa kinyerezi. niulize mimi cha kwangu sqmetre 700 nimenunua kwa ngapi huko kinyerez
L leamashina Member Jul 5, 2012 25 2 Jul 13, 2012 #4 Du! natamani hicho kiwanja lakini bei imenishinda chalii wangu. Ungesema millioni 8 kweli ningekutafuta.
Du! natamani hicho kiwanja lakini bei imenishinda chalii wangu. Ungesema millioni 8 kweli ningekutafuta.