King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,656
- 68,601
Habari wadau,
Naomba kujuzwa exactly bei ya ushuru(total taxes) ya kuingiza gari tajwa hapo juu kwa mtu ambaye ameingiza na sio hyo ya kukokotoa kwenye Exel sheets maana tanzania taasisi zake zinafanya kazi kama waganga wa kienyeji,unaweza ukafatisha hyo ya kwenye exel lkn ukienda live unapigwa tofauti na ile ya kwenye sheet,sasa kwa mtu anayejua anipe bei exactly ya kodi wanayotoza TRA,gari zote ni za 2003 na si mbaya ukanipa na 2001.
Nawasilisha.
Naomba kujuzwa exactly bei ya ushuru(total taxes) ya kuingiza gari tajwa hapo juu kwa mtu ambaye ameingiza na sio hyo ya kukokotoa kwenye Exel sheets maana tanzania taasisi zake zinafanya kazi kama waganga wa kienyeji,unaweza ukafatisha hyo ya kwenye exel lkn ukienda live unapigwa tofauti na ile ya kwenye sheet,sasa kwa mtu anayejua anipe bei exactly ya kodi wanayotoza TRA,gari zote ni za 2003 na si mbaya ukanipa na 2001.
Nawasilisha.