Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

natafuta hp photosmart c510a or 7510,yoyote mwenye nayo or anaweza nidirect zinapouzwa anijuze..me nipo arusha!
0 Reactions
1 Replies
912 Views
ideos phones for sell (limited time offer), for just Tsh 150,000. All phones are new. Cover color of your choice. Inbox me for more info., and for your order.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kiwanja chenye urefu wa mita 30 na upana wa mita 22 kinauzwa. Kipo Kivule jirani na Kanisa (RC) la Kigango, Kipo Tambarare, Majirani wanaendelea kujenga na wengine wameshahamia, Kinatazama...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Jamani kwa yeyote anayejuwa natafuta isuzu journey kubwa iliyo kwenye hali nzuri aidha ni dala dala au sio waweza tuma meseji au piga simu 0754 646827 bei ya kununua itategemea hali ya gari na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
7
0 Reactions
14 Replies
2K Views
With one master bedroom, one bedroom, one toilet/bathroom and one sitting room cum dinning room as well ventilated kitchen and store with water (Dawasco) and Electricity (LUKU). Is suitable for a...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ipo ktk hali nzuri sana inatembea bei ni 3.5m ipo Dar kinondoni karibu na kanisa la biafra kwa yeyote atakayeta kuiona tuwasiliane kwa number 0766 787503,
0 Reactions
1 Replies
2K Views
SONY Camera ya kazi ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri sana na ipo tayari kwa kuanza kazi.Kama mnavojua kampuni ya SONY ni moja ya kampuni zenye kusifika.Camera hii itaambatana na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
My friends,galaxy note inahitajika bajet yangu ni 750,000tsh/=......ni pm au 0782221405 :)
0 Reactions
0 Replies
754 Views
Ofisi inapangishwa maeneo ya Namanga, Ali Hassan Mwinyi Rd, Floor ya juu, Ukubwa wa ofisi hii ni mita za mraba 200 lakinin inapangisjhwa kuanzia 50sqm na ina vitu vifuatavyo: Back up Generator...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ni maduka gani naweza kupata blackberry bold kwa bei nzuri jamaan! Naombeni mnisaidie jamaan
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Wadau, Kuna mdada kaniomba nimsaidie kumpigia Promo nyumba yake iliyoko Kijitonyama, karib na chuo cha Ustawi wa jamii au Grandvilla Hotel. Nyumba ina vyumba viwili vya kulala, kimoja master...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Natafuta betri zinazo tumika kwenye minara ya simu ziwe mpya au zilizotumika. Na hitaji betri 20,ziwe Dsm.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
The number is about 550 and eight years aged located at Mang'ula in Kilombero district. price negotiable. contact 0755981193.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
I. Mimi nauza kamtambo kakuwoshea MADINI YA VITO, kamtambo haka kanavutw na Gari, lakini kwasasa nimetoa mataili nimaweka dani kuofia waizi, kanawosha aina yote Madini ya Vito...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau habari zenu wote. Natafuta kampuni/individual nayoweza kufanya nayo biashara on credit. Mimi ni mfanya biashara chipukizi,nahitaji kampuni itakayoweza kuniuzia 100% soft cotton kwa majora...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Karibuni kwa wahitaji; Kiwanja hiki; 1. Kipo tambarare - huhitaji kusawazisha chochote 2. Majirani wamejenga na wapo wanaoendelea - unajenga na kuhamia (majirani wapo) 3. Kinaangalia barabara...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta nyumba ya vyumba vitatu kwa bei isiyozidi laki 3 kwa mwezi kuanzia mwezi wa kumi na moja mwaka huu. Naahidi kuitunza kama yangu. Naomba ujibu kama una msaada katika hili sio kujifurahisha!!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
INAFAA KWA MATUMIZI YA OFISI, DUKA LA CHAKULA, VIFAA VYA UJENZI, DUKA LA DAWA NK BEI NI TSHS. 80,000/= KWA MWEZI NA MKATABA NI WA MIEZI SITA SITA FREMU INATAZAMA BARA BARA YA CHANGOMBE WASILIANA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Blackberry curve 8520 - 250,000 NOKIA E72 - 250,000 piga: 0655-003510 wateja serious tu.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom