ideos phones for sell (limited time offer), for just Tsh 150,000.
All phones are new.
Cover color of your choice.
Inbox me for more info., and for your order.
Kiwanja chenye urefu wa mita 30 na upana wa mita 22 kinauzwa.
Kipo Kivule jirani na Kanisa (RC) la Kigango,
Kipo Tambarare,
Majirani wanaendelea kujenga na wengine wameshahamia,
Kinatazama...
Jamani kwa yeyote anayejuwa natafuta isuzu journey kubwa iliyo kwenye hali nzuri aidha ni dala dala au sio waweza tuma meseji au piga simu 0754 646827 bei ya kununua itategemea hali ya gari na...
With one master bedroom, one bedroom, one toilet/bathroom and one sitting room cum dinning room as well ventilated kitchen and store with water (Dawasco) and Electricity (LUKU).
Is suitable for a...
Ipo ktk hali nzuri sana inatembea bei ni 3.5m ipo Dar kinondoni karibu na kanisa la biafra kwa yeyote atakayeta kuiona tuwasiliane kwa number 0766 787503,
SONY Camera ya kazi ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri sana na ipo tayari kwa kuanza kazi.Kama mnavojua kampuni ya SONY ni moja ya kampuni zenye kusifika.Camera hii itaambatana na...
Ofisi inapangishwa maeneo ya Namanga, Ali Hassan Mwinyi Rd, Floor ya juu, Ukubwa wa ofisi hii ni mita za mraba 200 lakinin inapangisjhwa kuanzia 50sqm na ina vitu vifuatavyo:
Back up Generator...
Wadau,
Kuna mdada kaniomba nimsaidie kumpigia Promo nyumba yake iliyoko Kijitonyama, karib na chuo cha Ustawi wa jamii au Grandvilla Hotel.
Nyumba ina vyumba viwili vya kulala, kimoja master...
I. Mimi nauza kamtambo kakuwoshea MADINI YA VITO, kamtambo haka kanavutw na Gari, lakini kwasasa nimetoa mataili nimaweka dani kuofia waizi, kanawosha aina yote Madini ya Vito...
Wadau habari zenu wote.
Natafuta kampuni/individual nayoweza kufanya nayo biashara on credit.
Mimi ni mfanya biashara chipukizi,nahitaji kampuni itakayoweza kuniuzia 100% soft cotton kwa majora...
Natafuta nyumba ya vyumba vitatu kwa bei isiyozidi laki 3 kwa mwezi kuanzia mwezi wa kumi na moja mwaka huu. Naahidi kuitunza kama yangu.
Naomba ujibu kama una msaada katika hili sio kujifurahisha!!!
INAFAA KWA MATUMIZI YA OFISI, DUKA LA CHAKULA, VIFAA VYA UJENZI, DUKA LA DAWA NK
BEI NI TSHS. 80,000/= KWA MWEZI NA MKATABA NI WA MIEZI SITA SITA
FREMU INATAZAMA BARA BARA YA CHANGOMBE
WASILIANA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.