Kidogo chetu
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 1,432
- 992
wana JF natafuta gari NISSAN XTRAIL iwe ni ya mwaka 2002/2003 bei iwe nzuri tafadhali.
wana JF natafuta gari NISSAN XTRAIL iwe ni ya mwaka 2002/2003 bei iwe nzuri tafadhali.
Watu wa JF ni wazushi sana kwenye biashara,wanaweka matangazo ili mradi waweke mitego kwa mabinti wa JF,acheni hizo jamani!!! Mwenye kutaka gari hawezi akapost vitu nusu nusu namna hii kuweni serious jamani!! Nissan X-trail ya rangi gani? Je bajeti yako ipo vipi? We ni dalali au mnunuzi?
inaonekana dadako anagongwa sana na wenye magari angalia usijemzika
Nyie ndio mnaoaribu JF,mwenye kutaka gari hawezi kuja kishallow shallow namna hii,acha hizo kudanganya mabinti wa JF,maana baadae utaanzisha uzi kule MMU unatafuta Girlfriend lol ushastukiwa Haaaaaaaaaaaaaa