survivor03
Senior Member
- Jan 10, 2012
- 131
- 21
Mambo vipi wakuu
nilikuwa nahitaji kujua kuhusu issue ya kununua gari kwa mkopo, ambayo ni used
je ni kampuni gani au kama mtu binafsi yupo na anaweza tufanye biashara kwa system hiyo
naomba mnijulishe ahsanteni.
nilikuwa nahitaji kujua kuhusu issue ya kununua gari kwa mkopo, ambayo ni used
je ni kampuni gani au kama mtu binafsi yupo na anaweza tufanye biashara kwa system hiyo
naomba mnijulishe ahsanteni.