Panasonic DVC 15E pamoja na vifaa vyake inauzwa shs milioni 2.2.Hii ni camera ya hali ya juu (Quality)na video yake ni nzuri sana.Imetumika lakini ipo katika hali nzuri na kila kitu kinafanya...
Ndugu kama una ios 5.1.1 na unataka kujailbreak simu yako ili uwe na uwezo wa kudownload apps za kulipia for free nitafute nkupe huduma kwa bei nzuri!
NB: excluding Unlock Service
For...
Nyumba ya kuishi ya kununua inahitajika vyumba 3 vya kulala iwe na sitting room,bafu,choo,jiko na store ndani,bei isizidi 20m,maeneo ya Ubungo mpaka Kibaha(Kongowe) iwe na umeme,ikiwa na maji...
Habari zenu!
Jamani kwa wale wenye harusi, au ndugu zenu wana harusi pitienieni www.tanzaniastylers.blogspot.com mtapata ideas nzuri sana kuhusu kuandaa harusi zenu kisasa.
Ni nyumba nzuri , ina vyumba vinne vya kulala. sehemu ya chakula, jiko na kusomea.ujenzi wake umekomea katika hatua za mwisho kabisa. hivyo mnunuzi atamalizia matengenezo yake. bei yake ni...
Kiwanja kinauzwa maeneo ya mbezi beach kwa komba karibu na stella matutina bar
kina ukubwa wa square meter 4000, kina pakana na barabara upande mmoja, kina umbali wa mita 300 kutoka bagamoyo road...
Wana JF, kwa muda mrefu kumekuwa na tabia kwa baadhi ya watu kutangaza katika jukwaa hili pasipo kuweka taarifa muhimu ya bidhaa husika kama bei, picha, namba za simu na specifications/taarifa...
Shamba la ekari 20 linauzwa Kiluvya Tondoroni. Eneo ni Tambarare na lina miti michache ya Miembe. linafaa kwa ujenzi wa Shule, Vyuo nk. Bei shilingi Milioni 4.5 Kila Ekari. Mawasiliano: Mobile...
Nyumba yenye rooms (3), ikiwemo master inauzwa eneo la kunduchi salasala mboma road nyuma ya kisima kikubwa cha maji. Bei ni M85, maongezi yapo. hakina udalali wala tatizo lolote. Kiwanja kina...
Its a five room house built in 40 by 20m surveyed plot with a title deed.
Situated very near the Mbezi beach Africana road, good neighbourhood and surroundings.
The house needs finishing only...
Gari Inauzwa Vitz Ya Mwaka 2000,Engine VVTI,Colour Apple Green ipo Vizuri Na Katika Hali Nzuri sana,. bei Ni 7.8 Million, Maelewano Yapo.. karibu Tufanye Biashara.. Namba Ya Simu Ni 0717783919
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.