Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

wakuu anayetaka ani pm laki2 turn mpyaaaa color Zipo
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Pm me !! Serious buyers only plz
0 Reactions
0 Replies
902 Views
Panasonic DVC 15E pamoja na vifaa vyake inauzwa shs milioni 2.2.Hii ni camera ya hali ya juu (Quality)na video yake ni nzuri sana.Imetumika lakini ipo katika hali nzuri na kila kitu kinafanya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu kama una ios 5.1.1 na unataka kujailbreak simu yako ili uwe na uwezo wa kudownload apps za kulipia for free nitafute nkupe huduma kwa bei nzuri! NB: excluding Unlock Service For...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Iphone 4s ipo inauzwa, 16gb mpya katika box lake na kila kitu. Ni factory unlocked ! Bei ni 1M! Maelewano yapo
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ya Mwaka 2001,Engine VVTI,bei Ni 11 mil..Maelewano Yapo, More Infos, pamoja na Kuona Gari Piga Namba Hii.0717783919
0 Reactions
1 Replies
2K Views
carina Si ya Mwaka 2000,Engine VVTI..Colour-Silver..Ipo Katika Hali Nzuri Kwa Mawasiliano Zaidi, Dial..+255717783919
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Engine ni 7A, Mwaka 1996,Colour Ni Dark Blue..bei ni 6.5 Mil,Ipo Katika Hali Nzuri Sana.. Mawasiliano Pamoja na kuona Gari Piga Namba Hii.0717783919
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba ya kuishi ya kununua inahitajika vyumba 3 vya kulala iwe na sitting room,bafu,choo,jiko na store ndani,bei isizidi 20m,maeneo ya Ubungo mpaka Kibaha(Kongowe) iwe na umeme,ikiwa na maji...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu! Jamani kwa wale wenye harusi, au ndugu zenu wana harusi pitienieni www.tanzaniastylers.blogspot.com mtapata ideas nzuri sana kuhusu kuandaa harusi zenu kisasa.
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Ni nyumba nzuri , ina vyumba vinne vya kulala. sehemu ya chakula, jiko na kusomea.ujenzi wake umekomea katika hatua za mwisho kabisa. hivyo mnunuzi atamalizia matengenezo yake. bei yake ni...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Kiwanja kinauzwa maeneo ya mbezi beach kwa komba karibu na stella matutina bar kina ukubwa wa square meter 4000, kina pakana na barabara upande mmoja, kina umbali wa mita 300 kutoka bagamoyo road...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Galaxy Note Inahitajika kwa tsh 750,000...ni pm au ni pgie 0782221405
0 Reactions
0 Replies
828 Views
Wana JF, kwa muda mrefu kumekuwa na tabia kwa baadhi ya watu kutangaza katika jukwaa hili pasipo kuweka taarifa muhimu ya bidhaa husika kama bei, picha, namba za simu na specifications/taarifa...
1 Reactions
0 Replies
962 Views
Shamba la ekari 20 linauzwa Kiluvya Tondoroni. Eneo ni Tambarare na lina miti michache ya Miembe. linafaa kwa ujenzi wa Shule, Vyuo nk. Bei shilingi Milioni 4.5 Kila Ekari. Mawasiliano: Mobile...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba yenye rooms (3), ikiwemo master inauzwa eneo la kunduchi salasala mboma road nyuma ya kisima kikubwa cha maji. Bei ni M85, maongezi yapo. hakina udalali wala tatizo lolote. Kiwanja kina...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Its a five room house built in 40 by 20m surveyed plot with a title deed. Situated very near the Mbezi beach Africana road, good neighbourhood and surroundings. The house needs finishing only...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Iwe ya wastani,inayofaa kwa shughuli kama Secretarial services(Iwe kandokando ya barabara.My no. 0717995793/0762183852
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Gari Inauzwa Vitz Ya Mwaka 2000,Engine VVTI,Colour Apple Green ipo Vizuri Na Katika Hali Nzuri sana,. bei Ni 7.8 Million, Maelewano Yapo.. karibu Tufanye Biashara.. Namba Ya Simu Ni 0717783919
0 Reactions
2 Replies
1K Views
(1) Magnate Mk 2 =>tractor Driven A.c =>K.V.A-40 =>made in England =>price-6.5mil,Maelewano Yapo,Dial-0717783919 , (2) LISTER PETTER-K.V.A-25,Made In England, price Ni 19mil (3)...
0 Reactions
0 Replies
915 Views
Back
Top Bottom