wakuu kuna ipad one 64 gb WIFI 3g used for 1.5 month.
ios 4
scratchlss best condtion just charger na cover nyeusi ya kufunika kote.
najaribu kuweka picha inagoma.
bei 720,000 tsh...
Heshima mbele wadau...!!
Kama upo Arusha na unahitaji Computer Used Bomba...Tuwasiliane........
Zipo HP DC7600 (CPU 3.0GHZ, 1GB-RAM, 80GB HDD Windows 7 Ultimate) + HP 17"TFT Monitor (Flat...
Natafuta chumba cha kupanga, maeneo ya SINZA, KIJITONYAMA na MWENGE, Uwezo wangu wa kifedha ni shilingi 50,000/= kisiwe uswazi na ikiwezekana MWENYE NYUMBA asiwe anaishi hapo.
Nyumba hii inakiwanja kikubwa na gari inafika , mnunuzi atabomoa na kujenga nyumba hata ya vyumba 3 na akabakiwa na eneo la kujenga geti, ni mbovu na chakavu. weka picha kichwani ya nyumba mbovu...
3months used, in great condition, comes with charger only,
iOS 5.0.1, modem firmware 4.10.01, inatumia gevey plus
bei 700,000/= available in dar
Contact me 0786882986
Habari; natafuta location ya UAE exchange kama wana branch yao kwa hapa Dar es salaam, kama kuna yeyote ujuaye ilipo naomba msaada anijuze nahitaji kutuma hela kwa mtu yupo Dubai.
Aksante!!
K iwanja kinauzwa kiko maeneo ya Bahari Beach kinaukubwa wa square metre 3000. Kiwanja kiko barabarani kizuri kwa matumizi ya nyumba ya kuishi, hotel na matumizi mengine ya kibiashara bei ni...
wadau kuna jamaa kanisaidia kupata mkopo kariakoo , branch ya stanbic ,wanatoa mkopo kwa wafanyabiashara walio kariakoo bila security , kaniuliza kama kuna watu wapo interested, if you are...
SONY Camera ya kazi ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri sana na ipo tayari kwa kuanza kazi.Kama mnavojua kampuni ya SONY ni moja ya kampuni zenye kusifika.
Camera hii itaambatana na...
Ni viwanja vizuri sana viko barabarani karibu na st.gasper(viko vinne) na pia ukitaka mashamba kuanzia ekari moja dodoma maeneo ya nzuguni.. we ni PM.
Pia tunazo nyumba za kupangisha dodoma area...
Mpendwa Bibi yutong,
Kutokana na juhudi ulizoonesha kwenye kuchangia katika uzi huu pamoja na malalamiko kadha wa kadha uliyotoa kuhusu ukubwa wa bei ya bidhaa, nimeamua kukupa punguzo la...
Dear Wanabodi,
My name is Domain Name > unique address that identify web site i.e www.mimi.com
Location : Web Hosting Space
I would like to tell all my friends that they have a chance of...
habari wana JF
kuna hoteli inauzwa ipo karia koo ina gorafa 8 na jenereta kubwa la kusaport kama umeme ukizimika. Inauzwa dola million 3.5
wasiliana nami kupitia 0714-463299 or 0716-369299
Toyota RAV 4 yauzwa. Wasifu wake ni kama ifuatavyo;
** Imetengenezwa mwaka 2004
** Imeingizwa nchini mwezi mei, 2012
** Ni "Automatic Transmission Gear"
** Ukubwa wa engine ni 1800cc na VVTi
**...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.