Wadau wapi nitapata hii mashine kwa lengo la kurahisisha kilimo cha vitunguu (umwagiliaji maji) about half an acre? Mimi ni mjasiriamali mdogo tu nipo huku wilaya ya Ruangwa. Please niambieni na...
Karibuni mboreshe afya zenu(ikiwezekana na kipato) kwa kutumia bidhaa bora kabisa ulimwenguni zilizotengenezwa na aloe vera(Shubiri).
Bidhaa kama Forever Bright Toothgel(Bidhaa ya meno) ni bidhaa...
Nyumba ni kubwa ina vyumba 4 vya kulala na uwani ina vyumba 3 jumla ina vyumba 7. pia ina choo ( public toilet) uwani, mbele ina vyumba 2 vya biashara ambavyo vimeunganishwa na nyumba. imeezekwa...
how are you everyone? house for sale!! it has 2master bedrooms,2bedrooms,1sitting room,1dining room and e.t.c the house is at Sinza, Dar es salaam Tanzania. if you are interested on it please...
Wakuu nina computer dell pentium 4,Hd 160gb,Ram 512,screen hp 21 inch. Siyo flat ina vga pin mbili means unaweza ku tumia cpu 2 on the same monitor.
Contact 0719081205
Wakuu,
anayehitaji moja ya bidhaa hizi ani PM
Majadiliano yapo.
0655123683
0759123683
Safisha Nyumba mimi...
Bidhaa
Bei
Maelezo Zaidi
Dish Futi 6 na decoder yake(Mediacom)
180,000
Madishi ya...
Nina eneo kubwa zaidi ya nusu heka hapa Upanga Dar - Es - Salaam,eneo ni zuri kwa ajiri ya kitega uchumi , kama apartment n.k , eneo lipo kiharali na kila nyaraka muhimu ipo. eneo limezungushiwa...
Wadau nategemea kuhamia arusha mapema mwezi ujao kwa neema ya mungu.naitaji nyumba au vyumba viwili vya kupanga.sio mwenyeji arusha ila ofisi yangu itakua eneo la njiro karibu na chuo cha esami...
Hello!
Make & Model: Toyota Platz 2001,
Imported: 2008
Engine:1000cc
Km: 70,000
Automatic, Power Windows, CD Player, Fuel Efficient, Comfy, and in Excellent Condition.
Contact :0715140247.
Kwa huduma za designing na printing invitation cards
business cards
bronchures
callenders
banners
printing
posters
fliers
logos
na Public Relation and Advertising ideas and planning. Tunajali...
Tunasupply electronic door locks kutoka germany. Kifupi tu ni kuwa hivi vitasa vinafunguliwa na kadi za kielectronic.
Faida ya hivi vitasa
Alarm ya uvamizi(burglary alarm)
Alarm ya kukukumbusha...
Ndug wana JF.,Habari zenu..
Nauza bajaj 2 aina ya 2stroke zipo katika hali nzuri na zinatembea barabarani.
Kwa kila moja bei yake ni sh MILLIONI MOJA NA LAKI NANE (Tsh 1,800,000).
Zipo eneo...
Kiwanja kimepimwa na tayari kimewekwa jiwe, ndani yake kuna nyumba 2. eneo lipo sehemu nzuri sana kwa matumizi ya biashara ya Shule , chuo au unaweza badilisha matumizi ili kiendane na matakwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.