BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,222
- 4,184
Nina tatizo ma Staff wa kitengo cha CC cha Vodacom. Kwa kuwa wameshindwa kunipatia ufumbuzi naanza kupanda ngazi kwenda juu. Tafadhali sana kwa anayejua naomba kupata email za CEO wa Vodacom, ya Mwamvita Makamba, Rukia Mtingwa na wahusika wengineo. Asanteni