M Mega Watt Member Joined Aug 9, 2011 Posts 28 Reaction score 2 Jul 9, 2012 #1 Kama kuna mnunuzi wa asali au anae elewa wapi naweza kupata soko zuri naomba msaada wenu nauza kwa jumla na sio rejareja
Kama kuna mnunuzi wa asali au anae elewa wapi naweza kupata soko zuri naomba msaada wenu nauza kwa jumla na sio rejareja
M Mbwambo JF-Expert Member Joined Nov 25, 2008 Posts 625 Reaction score 95 Jul 13, 2012 #2 Kwa jumla ni kiasi gani kaka maana lazima tujue bei na kwamba ina ubora gani na inatoka mkoa gani? Toa maelezo
Kwa jumla ni kiasi gani kaka maana lazima tujue bei na kwamba ina ubora gani na inatoka mkoa gani? Toa maelezo
Doyi JF-Expert Member Joined Dec 4, 2011 Posts 1,807 Reaction score 2,281 Jul 15, 2012 #3 Kaka nimekupm mbona hujajibu kitu?
M Malila JF-Expert Member Joined Dec 22, 2007 Posts 5,395 Reaction score 5,211 Aug 1, 2012 #4 Mega Watt said: Kama kuna mnunuzi wa asali au anae elewa wapi naweza kupata soko zuri naomba msaada wenu nauza kwa jumla na sio rejareja Click to expand... Peleka mzigo wako Honey King pale Kibaha, watanunua wote.
Mega Watt said: Kama kuna mnunuzi wa asali au anae elewa wapi naweza kupata soko zuri naomba msaada wenu nauza kwa jumla na sio rejareja Click to expand... Peleka mzigo wako Honey King pale Kibaha, watanunua wote.