M Mega Watt Member Aug 9, 2011 28 2 Jul 9, 2012 #1 Kama kuna mnunuzi wa asali au anae elewa wapi naweza kupata soko zuri naomba msaada wenu nauza kwa jumla na sio rejareja
Kama kuna mnunuzi wa asali au anae elewa wapi naweza kupata soko zuri naomba msaada wenu nauza kwa jumla na sio rejareja
M Mbwambo JF-Expert Member Nov 25, 2008 625 93 Jul 13, 2012 #2 Kwa jumla ni kiasi gani kaka maana lazima tujue bei na kwamba ina ubora gani na inatoka mkoa gani? Toa maelezo
Kwa jumla ni kiasi gani kaka maana lazima tujue bei na kwamba ina ubora gani na inatoka mkoa gani? Toa maelezo
M Malila JF-Expert Member Dec 22, 2007 5,149 4,674 Aug 1, 2012 #4 Mega Watt said: Kama kuna mnunuzi wa asali au anae elewa wapi naweza kupata soko zuri naomba msaada wenu nauza kwa jumla na sio rejareja Click to expand... Peleka mzigo wako Honey King pale Kibaha, watanunua wote.
Mega Watt said: Kama kuna mnunuzi wa asali au anae elewa wapi naweza kupata soko zuri naomba msaada wenu nauza kwa jumla na sio rejareja Click to expand... Peleka mzigo wako Honey King pale Kibaha, watanunua wote.