Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu, nahitaji gari aina ya Toyota Platz, liwe katika hali nzuri. Budget yangu ni Tsh. 6000000/= Nawasilisha.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama unahitaji lote au sehemu yake piga simu 0716646304
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ameshapatikana mtu
0 Reactions
2 Replies
941 Views
Waheshimiwa poleni na majukumu mbalimbali ya kila siku.Mungu aliyehai awafanikishe katika mema yote! Naomba msaada wa jinsi ya kuipata power supply ya digital video mixer aina ya Videonics mx...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Watanzania wenzangu kuna wizi mpya unaotumiwa na kampuni inayotoa huduma kushirikiana na makampuni yetu ya simu za mnkononi inayojitangaza kupitia radio ya clouds FM, kwamba wanauza magari...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
price $400.hdd,3 cd, call 0719315637
0 Reactions
0 Replies
798 Views
Budget ni 200 - 250K. Iwe na vyumba 2 vya kulala (preferably in a gated compound).
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani nina shida na kifaa tajwa hapo juu anayefanya biashara za computer parts /accessories please contact me 0787725140
0 Reactions
0 Replies
811 Views
kuna mwekezaji anatafuta viwanja kwa ajili ya kuwekeza either lease au joint venture maeneo ya masaki, oysterbay na ADA estate. kama una plot au unamjua mtu anayetafuta mwekezaji nipigie namba...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Anyone who has a knowledge of where I can get antivirus for bb and you can even send me the links
0 Reactions
1 Replies
917 Views
wadau nna kiwanja changu 610sqm, kipo makazi mapya karibu na shule ya Itezi Mbeya, documents zote zipo. Its only 3m. Nichek kwenye 0757865489
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Specification zake ni kama ifuatavyo: Pentium 4, ram 512 mb, processor 1.66, hard disk 40 gb, dvd rom and compact disk re-writable monitor ni flat screen ukubwa ni nchi 14. Bei yake ni laki 2 na 70
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu nauza simu yangu aina ya nokia asha 200 kwa kiasi cha tshs.130,000/= maongezi yapo.simu ina lain mbili,internet,radio,memory ya 2GB,charger na headphone kwa anayehitaji anitafute...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana JF, tunauza vifaa vya bakery kama vinavyoonekana kwenye attachment. Kwa muhitaji tuwasiliane kwa namba 0658453737. karibuni​
0 Reactions
1 Replies
2K Views
mtu anaweza kuanda tiles/vigae vingapi jamani kwa wazoefu.....upana na vigae ni 1 sq meter kwa kimoja, ila nyumba ina vyumba 4. thanks.
0 Reactions
12 Replies
11K Views
Mmiliki wa kajishule ka kindergarten anahitaji kununua daladala hiace iliyotumika isiyozidi 5miln. kwa ajili ya kuwapeleka watoto hao shuleni na kuwarudisha mitaani kwao. Tafadhali msaidie...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
specs: Vyumba vitatu(1 master) sebule kubwa(6 x5) air condition(ac) fan madirisha makubwa jiko + store dining kibaraza uwanja mkubwa mbele parking(garage) fence + gate miti ya kivuli Pia kuna...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
toyota hilux, model RZN147, manf year 1999, engn capacty 1998, curent klm 184,000, imeingia tanzania 2008, full ac,radio ipo nzuri, gear auto.BEI MILIONI KUMI NANANE(18000000)#0713795579
0 Reactions
9 Replies
2K Views
We provide web services at professional qualities and at most reasonable prices that no other service provider may dare to. Our web solution includes the following amazing features...
0 Reactions
0 Replies
804 Views
Nina duka la vifaa vya ujenzi ila mtaji wangu mdogo nahitaji mtu mwenye duka la vifaa vya ujenzi anayeuza Kwa bei ya jumla anisaidie vifaa niuze faida nabakia nayo, na hela yake namrudishia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom