Waheshimiwa poleni na majukumu mbalimbali ya kila siku.Mungu aliyehai awafanikishe katika mema yote!
Naomba msaada wa jinsi ya kuipata power supply ya digital video mixer aina ya Videonics mx...
Watanzania wenzangu kuna wizi mpya unaotumiwa na kampuni inayotoa huduma kushirikiana na makampuni yetu ya simu za mnkononi inayojitangaza kupitia radio ya clouds FM, kwamba wanauza magari...
kuna mwekezaji anatafuta viwanja kwa ajili ya kuwekeza either lease au joint venture maeneo ya masaki, oysterbay na ADA estate.
kama una plot au unamjua mtu anayetafuta mwekezaji nipigie namba...
Specification zake ni kama ifuatavyo:
Pentium 4, ram 512 mb, processor 1.66, hard disk 40 gb, dvd rom and compact disk re-writable monitor ni flat screen ukubwa ni nchi 14.
Bei yake ni laki 2 na 70
Habari wakuu nauza simu yangu aina ya nokia asha 200 kwa kiasi cha tshs.130,000/= maongezi yapo.simu ina lain mbili,internet,radio,memory ya 2GB,charger na headphone kwa anayehitaji anitafute...
Mmiliki wa kajishule ka kindergarten anahitaji kununua daladala hiace iliyotumika isiyozidi 5miln. kwa ajili ya kuwapeleka watoto hao shuleni na kuwarudisha mitaani kwao. Tafadhali msaidie...
specs:
Vyumba vitatu(1 master)
sebule kubwa(6 x5)
air condition(ac)
fan
madirisha makubwa
jiko + store
dining
kibaraza
uwanja mkubwa mbele
parking(garage)
fence + gate
miti ya kivuli
Pia kuna...
toyota hilux,
model RZN147,
manf year 1999,
engn capacty 1998,
curent klm 184,000,
imeingia tanzania 2008,
full ac,radio ipo nzuri,
gear auto.BEI MILIONI KUMI NANANE(18000000)#0713795579
We provide web services at professional qualities and at most
reasonable prices that no other service provider may dare to.
Our web solution includes the following amazing features...
Nina duka la vifaa vya ujenzi ila mtaji wangu mdogo nahitaji mtu mwenye duka la vifaa vya ujenzi anayeuza Kwa bei ya jumla anisaidie vifaa niuze faida nabakia nayo, na hela yake namrudishia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.