Samsung Galaxy S2 4sale.

Samsung Galaxy S2 4sale.

maju

Senior Member
Joined
Oct 20, 2011
Posts
118
Reaction score
28
Bei Tshs. 600,000
uploadfromtaptalk1346779541807.jpg
 
Mi nauza yangu kwa 550,000 negotiable...ipo used kwa mwezi mmoja....kwa maelewano zaidi ni pm
 
Weka contact zako faster nifate mzugo
 
Jamani wekeni contact basi tufanye biashara
 
Nina 300000 mpesa hapa. niambie nikutaute kama upo dar hapa.
 
muuzaji ... nakushauri ufanye mnada .... anza na bei ya chini let say 250,000 tsh .... halafu watu wapande dau
 
Mi nahitaji kwa anayeuzia simu ya Nokia E61 zile pana kabisa so mwenye nayo ani-pm.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom