Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Bei ni TSH 160,000/= or 100usd In excellent condition, like new! come with box , charger, usb cable, user manual, cd Serious buyer send private messsage to me or call 0714 345958 / 0752 858693...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
salaam wanajamii! kuna eneo la beach linauzwa lipo beach nunge plot no.39 bagamoyo. eneo lina hati na ukubwa wa hecta 3.424. ni eneo zuri linalofaa kwa makazi, hotel, shule/chuo na appartiments...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni nyumba nzuri ya familia. Ina vyumba vinne (4) vya kulala. Ina uzio/fensi ya miti aina ya miti. maji yapo, barabara hadi ndani na kuna parking ya gari moja. eneo lina ukubwa wa medium...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wana JF habari za jumapili nauza kiwanja kipo maeneo ya kinzudi B. umbali wa kilomita 6 kutoka africana na kilomita 7 kutoka mbuyuni. kiwanja kina ukubwa wa 20x20 kiko sehemu nzuri tambarare mitaa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni samsung, Screen touch, black color, iko na earphone yake, haina tatizo. nauza bei ya kutupa ambayo ni 100,000/=, nauza ili niongeze mfuko na kununua nokia e71, au samsung chat on 222 dabo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Gari ni mark II GR, injini iwe FOUR S kuanzia namba A. Just call 0713532322 kama unayo
0 Reactions
6 Replies
1K Views
khabari wana JF! kuna eneo zuri lililoandaliwa kwa ajiri ya gereji linauzwa eneo lipo tegeta magereji lina hati ya pamoja ukubwa wake ni mita 35 kwa mita30 eneo lina frem 4mbele ambazo...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nahitaji fremu moja ya biashara eneo la manzese, ubungo, riverside, mwenge, mbezi louis,kariakoo......ni PM kwa bei....inatakiwa haraka!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hi,Wanajamii.Kijana nimemaliza chuo nimetafuta kazi nimekosa so nimeamua kujiajiri na kamtaji kidogo.Naomba kama kuna mtu mwenye maelezo ya fremu maeneo ya sinza,mwenge au magomeni tuwasiliane...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hi,wanajamii.Kijana nimemaliza chuo nimetafuta ajira nimekosa so nimeamua kujiajiri na kimtaji kidogo.Naomba mwenye maelezo ya fremu maeneo ya sinza,mwenge au magomeni tuwasiliane 0715/0755 200221...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanajf. Nauliwa wapi naweza kununua decoder za ting? Maajent wake wanapatikana wapi na kama kuna mtu ana namba naomba
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Natafuta ​BB Bold 9900, Unlocked -Used, but in good condition and good price! pls PM
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nyumba ya kisasa inauzwa imekamilika yaani [ aluminium, tiles,gypsum,] ina garden nzuri, parking kubwa, gate, vyumba3 master1 kubwa, sebule kubwa, public toilet, jiko, store, studyroom...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Prado ya mwaka 2002, imeingizwa nchini July mwaka jana. Ina hali nzuri sana, bei maelewano. Mwenye interest ni-PM kwa details na picha. my email: tfnola@gmail.com
0 Reactions
5 Replies
2K Views
  • Poll Poll
Toyota Surf is being sold as appears on the picture, Automatic, Diesel Engine, at working condition, well maintained and has mainly been used in Dar es salaam It can be seen on week ends...
0 Reactions
0 Replies
894 Views
Nyumba ya kupanga vyumba viwili sebure jiko na choo maeneo ya Mwananyamala kinondoni makumbusho knyama inatakiwa nina 150-180, 000/= kwa mwezi kodi ya mwaka ipo namba ni 0715 69 69 20
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa mivumoni kipo karibia na shule ya st. Patrick kina ukubwa wa 30mita kwa 20mita maji umeme vipo gari linafika mpaka kwenye kiwanja bei yake ml6 kwa anayehitaji piga 0714107215
0 Reactions
6 Replies
1K Views
any of the phone mentioned is needed ASAP, if you have one for sale om me
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu, Nina ka Bar kangu nahitaji ka projector kwaajili ya Kutazamia Mpira. mwenye nayo ya Bei Nafuu Naomba anisaidie Tafadhali. Available @PM.
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Laptop inauzwa ni LENOVO T61,battery ipo poa kabisa.Bei ni 300,000/= maelewano ya biashara yapo. 0713513637
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom