Wakuu ninakiwanja morogoro eneo la Lugala pembezoni mwa mazimbu, eneo maarufu sana kwa kuchimba mchanga kwa sasa kuna watu wanaishi, mji yapo planned na nimeshalipia. Kinaukuba eka moja. Bei ni 4M...
Ndugu wana jamvi, naomba ushauri wenu kuna mtu wangu wa karibu anauliza ni wapi anaweza kupata mitumba ya kujukua mingi kwa bei ya jumla(kujumua). amesikia kuwa henda ikawa kenya, mara zbar, mara...
Habari wadau,
Kama mjuavyo, hapa ndio nyumbani. kuna mtu ameniomba ushauri wa wapi anaweza kupata mitumba kwa bei ya jumla, amesikia kuwa pengine bei inakuwa nafuu kenya, mara zbar, mara hapa hapa...
salam wanandugu! nahitaji nyumba ya kupanga yenye vyumba vitatu vya kulala. Maeneo ya Sinza itakua vyema zaidi na isiwe mbali sana na barabara. Msaada wenu jaman nahitaji...
Suzuki Escudo, 4WD,Manual transmission, 3 doors,Year of Manufacture 1997,Registered in TZ in 2005, Engine Capacity 1590, blue in color in an excellent condition is on Sale. The car has been under...
Habari wana JF! kiwanja kinauzwa bunju b kipo kwenye eneo zuri lililojengeka kwa mpangilio mzuri maji na umeme vipo, ukubwa wa kiwanja ni mita 40 kwa mita 30, bei yake ni ml.5 kwa anayehitaji...
Nauza RAV 4-short Chasis, ya mwaka 1998, metalic blue in colour, imeingizwa inchini na kuanza kutumika mwezi April 2012. Imelipiwa kodi zote. Kama vp nicheki kwa namba 0713-632526.
Kipo madale maendeleo,kipo karibu na shule ya sekondari maendeleo ukubwa 30x30 bei Ml.6,500,000 hakijapimwa ni cha uhakika, serious buyers only wasiliana no 0713069631
Sent from my BlackBerry...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.