Manufacturer: Land Rover
Model: Range Rover 2.5 DSE
Fuel: Diesel
Year: 1997
Transmission: Auto
Mileage: 152,000
Price: 28.500,000 TZS
Namba yake ya Tanzania ni TxxxCBS.
kwa upataji wa vifaa bora vya ujenzi ambavyo ni
1.mbao za aina zote ambazo ni treatedtimber na syplus
2.hardwood yaani mbao ngumu...ambazo ni mninga,mtondoo,mlingoti na mkongo
3.gypsum za kutoka...
Liwe maeneo ya Ubungo, sinza, Mwenge, Barabara ya Mandela au barabara ya Morogoro. Liwe na ukubwa wa mita za mraba 2000. Kwa mawasiliano ya haraka tuwasiliane kupitia 0717114409 au barua pepe...
Tunahitaji mtu wa kufanya naye kazi mwenye office tuingie naye mkataba. Tumeingia makubariano na kampuni iko U.K yenyewe inajihusisha na biashara ya kuuza nguo used (mitumba) grade A, vifaa vya...
If you can dream it, you can do it! DARE TO BE DIFFERENT, YOUR TIME IS NOW!!! The Search for true success is a personal pursuit and only you know where that persuit can take you. Its our honour to...
kingine toka kwa Shifta dalali toka Pwani ya Baidoa...
anahitajika Mbwa aina ya German Shepherd awe mdogo, rangi yeyote.
Awe amepata chanjo na kadi liwepo.
Meno yake yawe hayajapata kasoro...
Khabari wanajamii! kiwanja kinauzwa, kipo kwenye eneo zuri lililojengeka kwa mpangilio, huduma za umeme na maji zipo. kiwanja kina ukubwa wa mita 20 kwa 20, kiwanja kipo mapinga upande wa kulia...
Wakuu heshima kwenu. Naomba msaada katika kuanzisha uchomaji wa kiepe jjn dar es salaam niandae kiasi gani kama mtaji. Tafadhari wakubwa maana kujibweteka tu na kusoma mwisho wa siku utajikuta...
Nahitaji chumba kimoja au hata viwili(chumba na sebule) vya self kwenye mitaa husika hapo juu.
Naomba hata mwenye namba za dalali tu anisaidie maana nna shida kweli.
Khabari wanajamii! kiwanja kinauzwa bunju b kimepimwa kina hati kiwanja kina ukubwa wa sqm 2,243. bei yake ni ml 40 maongezi yapo kwa mhitaji contact 0714104788 au0714107215
Wakuu kiwanja kinauzwa kipo kisiwani Mafia, kina ukubwa wa square meters 1019 na kimepimwa! Anayehitaji PM please
Ni medium density na asking price is 3.5m Tsh. Eneo ni Kilindoni
Nyumba ya kisasa inahitajika kwa ajili ya kupanga maeneo salama na mazuri huko Morogoro, Tanzania. Iwe ya Kisasa yenye vyumba kati ya vitatu au vinne. Iwe na maji na umeme wa uakika. Dalali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.