Habari wadau! Wandugu natafuta informationza za soko la dagaa wa chakula cha kuku!kwenye mikoa ya Mbeya, Iringa n.k. Soko lake likoje huko? Wanunuzi haswa ni kina nani? Wafugaji, watengenezaji au madalali? Wananunua kilo sh ngp? Ulipaji unakuwaje? Cash in hand or deposit advance then bal on deliver? Njaaa kali jamani tusaidiane wandugu!