Vinahitajika

Safari_ni_Safari

JF-Expert Member
Oct 5, 2007
23,268
17,097
Wakuu,

Kiwanda kipya cha chakula cha mifugo kinahitaji malighafi zifuatazo. Tafadhali leteni quotations (per tonne) mpaka kiwandani Dar es Salaam

  1. Mahindi
  2. Mashudu
  3. Dagaa vumbi
  4. Chumvi
 
kiwanda kinaitwaje?kipo Dar es salaam sehemu ganii?utaratibu wa kuwapelekea upoje?wananunua mashudu ya aina gani?.wananunua mahindi ya aina gani?wanalipaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom