Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Niwekeeni hapa contact zake tafadhani nina bonge la deal nataka kumshirikisha..........
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ninatafuta wafasiri wa lugha za Shona<>Kiingereza, Ndebele<>Kiingereza na Oromo<>Kiingereza, yaani kutoka na kwenda Kiingereza. Ikiwa wewe unaelewa angalau moja ya lugha hizo na/au kama unamjua...
0 Reactions
0 Replies
906 Views
Nahitaji fundi wa kunifanyia wiring kwenye kanyumba kangu kapo salasala, kama wewe ni fundi wa umeme au kama unafahamu fundi mzuri wa umeme tafadhili niambie au niPM contanct zako/zake
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau ninauza set ya vifaa vya mazoezi vya body building ambavyo ni locally made ila ni vya chuma,,vifaa hivyo ni BARBELL yenye plate 6 (each plate ina uzito wa kilo 1O),DUMBELLS-set moja za kilo...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Natafuta machine za kutengeneza mikate,mpya au zilizotumika. 1:Oven ya umeme au gas. 2:mashine ya kukanda unga. 3:mashine ya kukata mikate. 4:Na kama zipo tools za aina nyingine za...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
mkaa mzuri unapatikana gongo la mboto kwa bei cheeee. kiroba cha kilo 25 kwa tshs. 12,000 tu na kiroba cha kilo 100 kwa tshs.35,000 tu BILA USAFIRI. UNAJITEGEMEA USAFIRI. Namba ya simu0717039283
1 Reactions
1 Replies
1K Views
wadau chumba kimoja kwa ajili ya ofisi au biashara kinapangishwa bei ni shs 150,000/= kwa mwezi,kodi inapokelewa ya mwaka...kwa mawasiliano piga 0756 090222
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza moderm mpya ya zantel nimetumia mara moja tu ile ofa yao ilipoisha kwa bei ya punguzo ya 25000/= Au kubadilishana kwa universal modern inayotumia line zote za simu PLEASE PM
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina kakamera changu sony handcam kamekatika mkanda wa scrin yake nikatumia vlc nayo imekata sasa haionyeshi kitu kabisa ila inarecodi haina hata miezi 6 tangu ninunue
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wandugu nahitaji kununua Wi-Fi SD Card kama hii hapa chini kwenye picha Wapi nitapata jamani?
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Tunauza nondo na vifaa vingine kama angle iron kwa jumla na rejareja. Bidhaa zetu ni za ubora wa hali ya juu,tupo kinondoni morocco karibu na jengo la airtel,pia warehouse zetu zipo mbagala. Kwa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Hello wadau, Kutokana na shida ya ghafla inayonikabili sina jinsi ila kuuza kiwanja changu maeneo ya Goba-Kinzudi karibu na shule ya Rightway international School kimefanyiwa survey na kina block...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Gari Tajwa hapo juu inahitajika haraka sana. Budjet ni 14m isizidi 72km. Dar es salaam ndio inako hitajika. Kama uko na gari hii tafadhali wasiliana kwa mail hii ford_298@hotmail.com Wasalaam...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari hapo juu nipo dar. Unataja aina gani na bei yake. Asante
0 Reactions
3 Replies
982 Views
Scania 93/280 6X2 1995 C&F DAR TZS MIL. 35
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana Jf.Nina uza mayai ya kuku wa kienyeji.Kwa anae hitaji anipm.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Haya jamani nna iphone 3gs 32Gb, ios 5.0.1, iko katika good condition.... Nahitaji kilo 3 (laki 3)
0 Reactions
9 Replies
1K Views
ina vyumba vitatu vyote ni self contained, ipo mikocheni kwa warioba karibu na oxford library/bookstore. bei ni 1000 usd kwa mwezi. muhitaji piga 0654363028
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu habari zenu. Jamaa yangu wa karibu anauza gari lake aina ya opa. Bei 8,250,000 tsh Maelewano yapo Gari lipo dar Namba yake ya simu 0716554555. Gari imetembea kilometa 100,300
0 Reactions
0 Replies
2K Views
incubator kuanzia mayai 24 kwa 6.5l y mayai 176 8. na mayai 264 1m mpya .full automatic multi function 220v maelezo zaidi 0718656566
0 Reactions
1 Replies
787 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…