Ninatafuta wafasiri wa lugha za Shona<>Kiingereza, Ndebele<>Kiingereza na Oromo<>Kiingereza, yaani kutoka na kwenda Kiingereza.
Ikiwa wewe unaelewa angalau moja ya lugha hizo na/au kama unamjua...
Nahitaji fundi wa kunifanyia wiring kwenye kanyumba kangu kapo salasala, kama wewe ni fundi wa umeme au kama unafahamu fundi mzuri wa umeme tafadhili niambie au niPM contanct zako/zake
Wadau ninauza set ya vifaa vya mazoezi vya body building ambavyo ni locally made ila ni vya chuma,,vifaa hivyo ni BARBELL yenye plate 6 (each plate ina uzito wa kilo 1O),DUMBELLS-set moja za kilo...
Natafuta machine za kutengeneza mikate,mpya au zilizotumika.
1:Oven ya umeme au gas.
2:mashine ya kukanda unga.
3:mashine ya kukata mikate.
4:Na kama zipo tools za aina nyingine za...
mkaa mzuri unapatikana gongo la mboto kwa bei cheeee. kiroba cha kilo 25 kwa tshs. 12,000 tu na kiroba cha kilo 100 kwa tshs.35,000 tu BILA USAFIRI. UNAJITEGEMEA USAFIRI. Namba ya simu0717039283
wadau chumba kimoja kwa ajili ya ofisi au biashara kinapangishwa bei ni shs 150,000/= kwa mwezi,kodi inapokelewa ya mwaka...kwa mawasiliano piga 0756 090222
Nauza moderm mpya ya zantel nimetumia mara moja tu ile ofa yao ilipoisha kwa bei ya punguzo ya 25000/=
Au kubadilishana kwa universal modern inayotumia line zote za simu
PLEASE PM
Nina kakamera changu sony handcam kamekatika mkanda wa scrin yake nikatumia vlc nayo imekata sasa haionyeshi kitu kabisa ila inarecodi haina hata miezi 6 tangu ninunue
Tunauza nondo na vifaa vingine kama angle iron kwa jumla na rejareja. Bidhaa zetu ni za ubora wa hali ya juu,tupo kinondoni morocco karibu na jengo la airtel,pia warehouse zetu zipo mbagala. Kwa...
Hello wadau,
Kutokana na shida ya ghafla inayonikabili sina jinsi ila kuuza kiwanja changu maeneo ya Goba-Kinzudi karibu na shule ya Rightway international School kimefanyiwa survey na kina block...
Gari Tajwa hapo juu inahitajika haraka sana. Budjet ni 14m isizidi 72km. Dar es salaam ndio inako hitajika. Kama uko na gari hii tafadhali wasiliana kwa mail hii ford_298@hotmail.com Wasalaam...
ina vyumba vitatu vyote ni self contained, ipo mikocheni kwa warioba karibu na oxford library/bookstore.
bei ni 1000 usd kwa mwezi.
muhitaji piga 0654363028
Ndugu habari zenu.
Jamaa yangu wa karibu anauza gari lake aina ya opa.
Bei 8,250,000 tsh
Maelewano yapo
Gari lipo dar
Namba yake ya simu 0716554555.
Gari imetembea kilometa 100,300