Natauta mashine za bekary

tz1

JF-Expert Member
Mar 19, 2011
2,121
534
Natafuta machine za kutengeneza mikate,mpya au zilizotumika.

1:Oven ya umeme au gas.
2:mashine ya kukanda unga.
3:mashine ya kukata mikate.
4:Na kama zipo tools za aina nyingine za kutengeneza mikate.

Asanteni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom