Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

wanajamvini viwanja 20 viko sehemu moja,vinapatikana luchelele karibu na kwa mkurugenzi,Vimepimwa na vimetengwa kwa makazi ni vizuri kabisa,documents zote zipo,anahitajika mteja wa haraka...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Nahitaji chumba kimoja cha kupanga maeneo yoyote ya jiji la Dar es salaam yenye sehemu tulivu. Kodi 30,000 kwa mwezi na nitalipa kodi ya miezi 6 ili kuangalia mazingira kwanza. Mwenye nacho...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Asanten xana wadau kwa msaada mlonpa kutft zle cm nyngne nilzpata bt kmtaamtaa XAXA LILILOKUBWA KUNA M2 WNG ANATAFUTA NOKIA N97 NAOMBEN MNISAIDIE NA HILI WKT KDOGO KIDOGO NAENDELEA KUTAFUTA...
0 Reactions
4 Replies
850 Views
Natafuta Ipod ambayo inafunction fresh na iko katika hali nzuri. Bei ni maelewano na itategemea na condition ya bidhaa yako ilivyo. PM fast kama uko interested.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hello wadau Naomba msaada nahitaji kununua decoder za Abu dhabi na kulipia ili niweze kuona EPL matches. Nitapata agendt hapa bongo. Msaada tafadhari
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nokia X201 inauzwa bei poa Tsh. 110,000/= Simu ina camera, EDGE class 32, Bluetooth, memory card slot up to 16GB, QWERTY keyboard. Wasiliana nami +255716300091/+255753686485
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mambo vp wana JF? Nauza Duet Cc 900, ODO 68,700 kms iko kwenye ubora. Bei ni Tshs milioni 5.5 tu. Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba; 0717 123464 au 0762 101178. Karibuni sana.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kiwanja kina sqm 1,500 kina hati tayari , kipo pembeni ya barabara kipo gezaulole ,kigamboni ni km 17 toka feri sehemu hii ina viwanja 2 vinavyopakana hiki cha super market kinapakana na cha kituo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
DELL INSPIRON 1150 FOR SALE!!!!!!! Specification HDD 20 gb, processor 2.2GHZ, RAM 512MHZ PRICE Tshs 200,000/= inakaa na charge! Contacts: 0714448864/0767448864
0 Reactions
0 Replies
785 Views
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo yafuatayo 1. Sinza 2. Kinondoni 3. Sayansi 4. Makumbusho 5. Mikocheni Iwe ina sitting room, bed room, jiko, choo, na ka store kadogo. Bajeti yangu ni kati ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
NIAJE WANA JAMII! Computers (dell) zipo sokoni kwa yoyote mwenye kuitaji. Ni desktop na zinaenda kwa 300000/- kwa set ; yan (CPU, MOUSE, KEYBOARD,FLAT PANEL SCREEN) Feel interested...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Salaam zenu wadau, ngependa kujua kama kuna uwezekano wa kupata hii samsung s3 kwa bei nafuu na wala sichagui rangi...mnaweza kuni PM au 0712859798 Ahsanteni kwa ushirikiano
0 Reactions
0 Replies
777 Views
WE ARE PROFESSIONALS IN GSM INDUSTRY FOR THE FOLLOWING SERVICES UNLOCKING ANY GSM PHONES IPHONES NOKIA SAMSUNG ALCATEL BLACKBERRY UNLOCKING ANY GSM MODEM ZTE HUAWEI VODAFONE...
0 Reactions
2 Replies
806 Views
Hijakamilika ina vyumba vya kulala vitatu, jiko, sebure na sehemu ya meza ya chakula. Ukubwa wa kiwanja mita 25 kwa 30. Bei 35mil. kwa maelezo zaidi piga simu 07171114409
0 Reactions
1 Replies
2K Views
320 gb hard disc 2.5 ghz processor 2 gb ram. Bei ni 520,000/- zipo kibao, ni mzigo kutoka dubai unapitia zanzibar ndomana bei yake ipo chini. Kama upo interested ni PM
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Bonyeza hapa
0 Reactions
6 Replies
1K Views
VIKO GOBA MATOSA SIZE 20*20 3MILLION, 25*20 3.5MILLION, 40*20 6MILLION NA 40*25 7MILLION MAONGEZI YAPO. VYOTE VINAFIKIKA KWA GARI na UMEME UKO JIRANI. piga0718334726 kwa taarifa zaidi.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wana jamii wenzangu!? Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya Kijitonyam au Makumbusho. VIGEZO: 1.chumba na sebule na choo ndani,ikiwa na kispace cha jiko ntafurah zaid 2.kiwe ndani ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ushindani wa mitandao ya mobile unaendelea KUPAGAWISHA watoa huduma kama hivyo. ...wapi kunguru?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu yangu anatarajia kuja kutembea Dar kikazi. Atakuwa Dar Kati ya tarehe 1.12-10.01.2013. Kwa mwenye apartment au nyumba ambayo IPO furnished aniPm.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom