Hello.
Mimi ni mjasiriamali napenda kuwatambulisha kwenu kampuni yangu inaitwa oplusa Investment Limited.Kwa sasa deal of day ni mobile phones original tunauza kwa jumla.Pia tunasaidia kupata...
Wana JF, Habari za mchana? Natafuta kuku wa kienyeji wa kununua(kuanzia 2 weeks old na kuendelea,wasiwe wa mayai),nahitaji kuanzia 200 na kuendelea yeyote anayejua ama anauza, anijulishe...
JORDAN EXPRESS CO LTD TUNAMAGARI YAFUTAYO
(1)TOYOTA ALTEZZA 12 M Tsh
2001/
Odometer
65,000 km
Displacement
1,980 cc
Steering
Right
Transmission
AT
Fuel
Gasoline/Petrol
Model code
TA-GXE10...
WE ARE PROFESSIONALS IN GSM INDUSTRY FOR THE FOLLOWING SERVICES
UNLOCKING ANY GSM PHONES
IPHONES
NOKIA
SAMSUNG
ALCATEL
BLACKBERRY
UNLOCKING ANY GSM MODEM
ZTE
HUAWEI
VODAFONE...
WE ARE PROFESSIONALS IN GSM INDUSTRY FOR THE FOLLOWING SERVICES
UNLOCKING ANY GSM PHONES
IPHONES
NOKIA
SAMSUNG
ALCATEL
BLACKBERRY
UNLOCKING ANY GSM MODEM...
Wadau, Nauza Land Cruiser Prado (Short Chasis).
Gari hii ina siku moja tu toka itoke bandarini.
Details Muhimu;
YOM; 2000
Mileage; <50,000Kms
Color; Gray
Bei; 27Mil (Neg)
Steering: Right...
JORDAN EXPRESS CO LTD TUNAMAGARI YAFUTAYO
(1)TOYOTA ALTEZZA 12 M Tsh
2001/
Odometer
65,000 km
Displacement
1,980 cc
Steering
Right
Transmission
AT
Fuel
Gasoline/Petrol
Model code
TA-GXE10
(2)...
Tangazo hili nimelirudia baada ya kuweka picha kama nilivyoombwa na wadau.
Ni pikipiki ambayo ipo katika hali nzuri kabisa inafaa kwa matumizi binafsi na si biashara. Bei yake ni 1.1M (mazungumzo...
Ndugu zanguni,
Wiki iliyopita niliweka tangazo hapa kwa watanzania wenzangu wote wanaoishi hapa UK kuwa kampuni yetu ya SERENGETI FREIGHT imekusudia kuanzisha mfuko maalumu wa kuwasaidia watu...
Nahitaji gari la kukodi self drive, maliponi ni kwa mwezi, bei isiyozidi TZS 450,000 inategemea na gari lenyewe. Gari litatunzwa na halifanyishwa suluba
ps3 in good condition price 600,000. its 320 GB and a free cd.
psp also in a good condition 300,000 . its jail broken so utakua na acess to games za kuinstall.
Pikipiki aina ya SAN MOTO XL, yenye engine ya cc150 ipo sokoni, ipo katika hali nzuri sana. Pikpiki hii inafaa kwa matumizi binafsi na si kwa ajili ya biashara hasa kwa kuendea kazini au starehe...
Guys, rafiki yangu anahitaji simu ya iPhone 4 na mwingine huawei 8650 kama zile wanazo uza tigo. Kama kuna mtu anauza, tunaomba ataje bei na hali ya simu aliyo nayo. Mimi sio dalali wake, nitampa...
Jamani watu wa ujasiriamali, tunapenda kuwatangazia wale wote wanaopenda biashara ya ufugaji wa kuku na wanyama wa aina ya ndege wote. Sisi tunatengeneza mashine za kuangulia...
INATANGAZA NAFASI ZA KAZI CASHIER NA SALES KWA UPANDE WA VODACOM M-PESA
SIFA ZA MWOMBAJI:
1. AWE NA ELIMU YA KIDATO CHA NNE AU CHA SITA
2. AWE NA UZOEFU UPANDE WA MAHESABU NA AWE AMEWAHI...
Kwa wajasiriamali wanaodhamiria kujikwamua na lindi la umasikini. Mashine za kutotolea vifaranga zinapatikana hapa kwetu.
SIFA:
1. Zina ukubwa tofauti, toka mayai 200 hadi 2000...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.