Doltyne
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 440
- 170
Viwanja vinauzwa, vipo blok H kitopeni, Bagamoyo. Kiwanja namba 108 Kina ukubwa wa 1164sqmtr, na kiwanja namba 109 kina ukubwa wa 1154sqmtr.
Bei 18m Kila kimoja. Vimepimwa na Vina Offer/Hati ya miaka 66.
Kitopeni ni 5km kabla ya kuingia bagamoyo, na viwanja vipo 600m kutoka bagamoyo road.
Viwanja Vingine viwili vipo Block A, Mataya-Bagamoyo. Mataya ni 6KM kabla ya kuingia bagamoyo Mjini, Na viwanja vipo 1.7km Kutoka Barabara ya Bagamoyo. Kiwanja namba 24 kina ukubwa wa 4800sqmtr na Kiwanja namba 23 Kina ukubwa wa 4044sqmtr. Bei ni 9500 kwa sqmtr moja...Vyote Vimepimwa na Vina Hati.
NB: Viwanja vyote vinafikika (kuna barabara mpaka viwanjani)
Wasiliana na Mmiliki kwa namba 0713458746.
NB: Hizo ni bei elekezi (maelewano Yapo).
Bei 18m Kila kimoja. Vimepimwa na Vina Offer/Hati ya miaka 66.
Kitopeni ni 5km kabla ya kuingia bagamoyo, na viwanja vipo 600m kutoka bagamoyo road.
Viwanja Vingine viwili vipo Block A, Mataya-Bagamoyo. Mataya ni 6KM kabla ya kuingia bagamoyo Mjini, Na viwanja vipo 1.7km Kutoka Barabara ya Bagamoyo. Kiwanja namba 24 kina ukubwa wa 4800sqmtr na Kiwanja namba 23 Kina ukubwa wa 4044sqmtr. Bei ni 9500 kwa sqmtr moja...Vyote Vimepimwa na Vina Hati.
NB: Viwanja vyote vinafikika (kuna barabara mpaka viwanjani)
Wasiliana na Mmiliki kwa namba 0713458746.
NB: Hizo ni bei elekezi (maelewano Yapo).