Kiwanja kinauzwa uyole -MBEYA

Kiwanja kinauzwa uyole -MBEYA

MBUFYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2011
Posts
445
Reaction score
68
Kiwanja hiki kinaukubwa wa robo heka, kipo itezi uyole. umeme, maji na nyumba ya kuanzia ipo! kwa wanao hitaji maelezo zaidi wani PM.
 
tupia bei mkuu! Mbn kila cku huwa tunaimba hili suala la watu kuweka bei? Huku ni kama gulio na pia kupunguza usumbufu kwa pande zote.

starehe yake nikuona PM huyo,kunasiri gani hapo hadi ashindwe kutoa maelezo ya bei?
 
Back
Top Bottom