Gari inauzwa kwa bei nzuri

Gari inauzwa kwa bei nzuri

mama kokuu

Senior Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
131
Reaction score
22
zima (1).JPG
toyota hilux surf. Engine 2l,manual gear+4wd. Kwa mawasiliano piga namba 0712419419
 
View attachment 70864
toyota hilux surf. Engine 2l,manual gear+4wd. Kwa mawasiliano piga namba 0712419419

Haya mambo ya kutokuweka bei yamepitwa na wakati, Tradecarview unakuta wameweka bei eg US$ 1800, then mnaongea punguzo mpaka mnakubaliana eg US$ 1500 na kuuziana gari bila kupotezeana muda, Na hiyo Surf yako utadoda nayo kwani yanajulikana ugonjwa wake engine ni kimeo kila siku gereji kwani Mjapani alitengeneza toleo hilo akiwa usingizini...jamaa yangu aliuza Tsh 3,000,000/= kwa sababu alishindwa kutoa ugonjwa wake wa kuchemsha ambao nafikiri na wewe yamekupata
 
Haya mambo ya kutokuweka bei yamepitwa na wakati, Tradecarview unakuta wameweka bei eg US$ 1800, then mnaongea punguzo mpaka mnakubaliana eg US$ 1500 na kuuziana gari bila kupotezeana muda, Na hiyo Surf yako utadoda nayo kwani yanajulikana ugonjwa wake engine ni kimeo kila siku gereji kwani Mjapani alitengeneza toleo hilo akiwa usingizini...jamaa yangu aliuza Tsh 3,000,000/= kwa sababu alishindwa kutoa ugonjwa wake wa kuchemsha ambao nafikiri na wewe yamekupata

2L siyo mbaya kama 2LT brother. Hii 2LT ni balaa yaani full mchemsho. 2L ni ngumu kidogo! Hata hivyo kupata mtu iko kazi!
 
Haya mambo ya kutokuweka bei yamepitwa na wakati, Tradecarview unakuta wameweka bei eg US$ 1800, then mnaongea punguzo mpaka mnakubaliana eg US$ 1500 na kuuziana gari bila kupotezeana muda, Na hiyo Surf yako utadoda nayo kwani yanajulikana ugonjwa wake engine ni kimeo kila siku gereji kwani Mjapani alitengeneza toleo hilo akiwa usingizini...jamaa yangu aliuza Tsh 3,000,000/= kwa sababu alishindwa kutoa ugonjwa wake wa kuchemsha ambao nafikiri na wewe yamekupata
Hapana, hawezi kudoda nalo. Atauza kama chuma chakavu. Hii ndiyo njia rahisi ya kuuza hizi toyota Hilux, kama mnunuzi hapatikani.
 
Namshuru sana mwenyezi Mungu kwa kumimina baraka zake kwangu na hatimaye nimeuza gari.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom