Wadau,
Offer kuuuuubwa! Tunashawishi mtu anayetaka kufanya biashara ya radio TUNDUMA kuna soko kubwa sana.
Gharama
Vifaa vya studioni Milion 3 (Vitanunuliwa katika maduka ya Tanzania)...
Kama kuna mtu mwenye vifaa kwa ajili ya Saluni ya kiume na anaviuza kwa bei poa tuwasiliane.
Ninataka kununua Viti, Mashine za kunyolea, Makochi, pamoja na vifaa vinginevyo vinavyohitajika kwa...
Samsung video camera mini dv vp-d381
Nauza Samsung Video Camera min DV VP-D381 ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri sana.Imetumika Uingereza lakini imeshafika Dar es salaam.Bei ni shs...
iPhone 4s mpya kabisa ipo kwenye box lake haijawahi kutumika ninaiuza laki tisa, ni original. Nimetumiwa kutoka UK. Kama upo tayari ni pm number yako ya simu kisha nakupigia mara moja au tumia...
Pamoja na kutoa huduma ya kuuza na kununua viwanja .Pia tunatoa huduma ya sarvey , kusaidia kusajiri eneo ambalo halijasajiriwa kama litakuwa sehemu salama. kupima mashamba nk . 0657 145555 &...
Karibuni wadau wote na wapenzi katika beach hii mpya ya kisasa iliyopo maeneo ya ununio and experince the breeze of the sea in a different way, various services are being offered among which...
Kama unahitaji display za laptop size zote(10.1," 14.0", 14.1", 15.6" etc) aina zote (LCD,Ultraslim na LED) Adapter za laptop aina zote na betri zake na spea nyingine za laptop, Nitafute kwa...
Jamani ninaomba msaada huu kwa mara ya pili sasa
wana jamii nimesaidiwa mengi sana na wanachama lakini safari hii sijapata mtu wa kunisaidia wapi hapa dar nitapata hiyo tube light?
Asanteni kwa...
iwe ni smartphone,iwe inasupport modern features km whatsapp na apps kibao nzuri
napenda zaidi samsung galaxy pocket,huawei bt ikiwa tofauti na hizo hamna tabu!!
Offer 150k,nipo dom!!
Simu...
Wadau habari,
Nahitaji pavement cutter mpya au used inayofanya kazi mwenye kufahamu au kuwa nayo tuwasiliane. Nitapenda kujua ana model gani, bei na kama ni mpya au used.
Asanteni
Dear JF Members and Non-JF Members
Hi, how are you?
Purchasing property is a brilliant idea one can ever have in a lifetime. I am here to help people out in making this very important choice...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.