Jumba la kifahari linauzwa bei powaaaa!

Jumba la kifahari linauzwa bei powaaaa!

Akiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1,445
Reaction score
217
Jumba lipo Temeke, Mbagara maji matitu lina sifa zifuatazo

  • km 2 toka barabarani na km 22 toka posta mpya kumbuka ujenzi wa barabara ya kisasa unaendelea
  • umeme maji vipo
  • chini tiles juu qypsum
  • imeezekwa kigae
  • ina leseni ya makazi mchakato wa kupata hati unaendelea vizuri baada ya siku 60 hati inakamilika
  • vyumba 4 vya kulala kimoja master
  • ina geti kubwa la kuingilia na tena geti jingine kwa ajiri ya kulaza gari ndani ya nyumba
  • jiko, store. public toilet. slide window
  • bei 90m , tuwasiliane 0657 145555 & 0772 006688 info@havilla.net ,thomasnelson564@yahoo.com
DSC06264.JPG DSC06275.JPG DSC06262.JPG DSC06267.JPG DSC06265.JPG DSC06276.JPG
 

Attachments

Jumba lipo Temeke, Mbagara maji matitu lina sifa zifuatazo

  • km 2 toka barabarani na km 22 toka posta mpya kumbuka ujenzi wa barabara ya kisasa unaendelea
  • umeme maji vipo
  • chini tiles juu qypsum
  • imeezekwa kigae
  • ina leseni ya makazi mchakato wa kupata hati unaendelea vizuri baada ya siku 60 hati inakamilika
  • vyumba 4 vya kulala kimoja master
  • ina geti kubwa la kuingilia na tena geti jingine kwa ajiri ya kulaza gari ndani ya nyumba
  • jiko, store. public toilet. slide window
  • bei 90m , tuwasiliane 0657 145555 & 0772 006688 info@havilla.net ,thomasnelson564@yahoo.com
View attachment 70966 View attachment 70967 View attachment 70968 View attachment 70969 View attachment 70970 View attachment 70971


kichwa cha habari na hapo kwenye red mie hoi
 
ufahari wa hii nyumba upo wapi...kwanza inabidi wajifunze kupaka rangi zinazovutia...sio hizo rangi za mashuka ya Boarding School
 
Lugha za madali hizo. Halafu eti hati itapatikana baada ya siku 90.
Je ni hati kutoka wizara hiii hii ya ardhi tunayoijua sisi?
Au una import kutoka China?
si import toka china wala wapi nina hakika na ninachosema na wengi nimewafanyia hivi . kila k2 wako wanakiweza na wanaoshindwa
 
Rangi mbaya ningekununua maana na mpango wa kurudi kuja kuishi nyumbani
 
Hivi Mbagala si kule kwenye milipuko ya mabomu ?.
 
Hivi Mbagala si kule kwenye milipuko ya mabomu ?.
kule ambapo mtoto alikojolea Kitabu Kitakatifu alafu waumini wakachoma moto makanisa na kuiba majenereta na vitu vingine walivyovikuta ndani kabla ya jk kwenda kuwatuliza
 
kichwa cha habari na hapo kwenye red mie hoi

Wewe unafikiri hicho ni chumba cha kupanga tandale.Bei ya hiyo nyumba ni ndogo sana kwa mtu ambaye yuko serious,ukilinganisha na gharama kubwa za ujenzi hapa Dar.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom