Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Salamu Wadau, Nauza kiwanja jijini Dar es salaam, Kinondoni B mkabala na BIAFRA Kuna nyumba ya kawaida ya vyumba vitatu, eneo lina ukubwa wa 320 square metre, nyumba iliyopo inafaa kwa matumizi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
iphone 3gs kwa bei chee ya sh.195,000 wahi mapema nicheki thru 0717022737 picture nitaziweka muda.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wanajamii, Samahani wajumbe ila naulizia kama mtu anafahamu sehemu wanapouza A4 T-SHIRT PRINTER na ntafurahi nkijua bei na eneo wanalouza na kama ntapata na namba ya simu then ntashukuru zaid
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Inatafutwa Suzuki Swift ya kununua,iwe ya Maroon. Kama kuna ambaye amefanikiwa kuiona suzuki swift ya rangi hiyo kwenye yard yoyote tafadhali anijuze.Nina special interest na hiyo rangi. other...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
1. Shamba ekari 110 liko kiwangwa bagamoyo linauzwa shs 1,000,000 kwa eka linafaa kwa kilimo cha mananasi 2. Shamba ekari 50 liko mtibwa turiani linauzwa shs 4,000,000 kwa eka linafaa kwa kilimo...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Gari inauzwa aina ya starlet 1992 gt turbo , rangi ni black ina hali nzuri , bie ni 4.5 , more information call 0765044100
0 Reactions
4 Replies
3K Views
heya kama kuna m2 anaweza fanya mpango wa hyo cm hapo juu! Anitajie bei ni pm 2malzane fasta fasta
0 Reactions
3 Replies
999 Views
Kwa walio interested, BB STORM 9530 mpya kabisa inauzwa Tsh 350,000/=. Nicheki 0713460709
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nahtaj cmu fasta ya bei hyo sh.80,000
0 Reactions
9 Replies
1K Views
NYUMBA INA MASTER 1 BEDROOM ZA KAWAIDA 3 STORE 1 JIKO LA NDANI 1 SEBULE KUBWA NYUMBA YA UANI 1....vyumba vitatu(chumba sebule chumba) BEI 65mil na pia maelewano yapo. conts. 0714812375 KIMARA...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Natafuta simu tajwa hapo juu. Isiwe ya kichina.
0 Reactions
3 Replies
926 Views
Kama zipo nipe bei tufanye biashara!
0 Reactions
2 Replies
987 Views
Kiwanja chenye eneo la 20*20 kinauzwa eneo la Mbezi Makabe,tayari eneo hili lina makazi.Kama wewe ni mnunuzi ni PM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pata bata mzinga wenye uzito mpk kg 15 wakubwa kwa wadogo. pia bata bukini wanapatikana karibu 0757662401
0 Reactions
0 Replies
934 Views
Natafuta nokia E90 communicator in good condition au mpya KAMA ipo...
0 Reactions
0 Replies
787 Views
brand new simu 0713656256
0 Reactions
6 Replies
2K Views
UPGRADE YOUR LOCKED IPHONE 3GS TO IOS 6.1 AND GET WHATSAPP FOR FREE CONTACT 0715353108 and 0756144060 au mwamalekela@gmail.com COST IS 50,000/= TIME IS 2HRS TUPO KARIAKOO MTAA WA UHURU...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Nyumba mpya ya kuvutia inapangishwa Ukonga Banana: iko km mbili kutokaairport Mwendo wa dakika tano kwenda kituo cha mabasi banana: Ina vitu vifuatavyo -Master bed room-1 -Extensive Sitting room...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Natafuta chumba cha kupanga kuanzia maeneo ya biafra had mkwajun kisiwe mbali sana kutoka barabaran kuwe na uwezekano wa gari kupta ni PM kama unafaham
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba hiyo ina sifa zifuatazo: -2 Master bed rooms -Wide Sitting room -Dinning Room -Kitchen -Store -Public Toilet -Fence -Maji -Umeme wa LUKU Iko kilomita moja kutoka Mwananchi (MCL) au SDV...
2 Reactions
63 Replies
5K Views
Back
Top Bottom